Tag: habari magazetini

1 11 12 13 14 15 99 130 / 989 POSTS
Rais Samia aeleza maana ya kauli yake ya aliyesimama hapa ni Rais mwenye maumbile ya kike

Rais Samia aeleza maana ya kauli yake ya aliyesimama hapa ni Rais mwenye maumbile ya kike

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kauli yake aliyosema siku ya kuagwa kwa mwili wa aliyekuwa rais wa awam [...]
“Mdogo wangu Mwinyi, simama kama mbuyu.”- Rais Samia

“Mdogo wangu Mwinyi, simama kama mbuyu.”- Rais Samia

Rais Samia Suluhu Hassan ameitaka familia ya hayati Ali Hassan Mwinyi kuendelea kuheshimiana na kushikamana na kwamba hawatafurahi kuona familia hiyo [...]
Rais Samia aipongeza Yanga SC

Rais Samia aipongeza Yanga SC

Rais wa Samia Suluhu Hassan, ameipongeza Yanga SC, kwa kufanikiwa kutinga hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, baada ya kuishushia kichap [...]
Rekodi yavunjwa ongezeko la watalii wa kigeni

Rekodi yavunjwa ongezeko la watalii wa kigeni

Mapato yanayotokana na utalii yamezidi kuongezeka kutoka Dola za Kimarekani bilioni 1.3 mwaka 2021 hadi kuvunja rekodi na kufikia Dola za Kimarekani b [...]
Ushawishi wa Tanzania Duniani utategemea na Ubora wa Sera ya Mambo ya Nje inayorekebishwa

Ushawishi wa Tanzania Duniani utategemea na Ubora wa Sera ya Mambo ya Nje inayorekebishwa

Imeelezwa kuwa ili Tanzania iweze kufikia malengo ya  Maendeleo iliyojiwekea, lazima iwe na Sera Bora ya Mambo ya Nje inayozingatia maoni na matakwa y [...]
TPDC yasaini mikataba ya Sh60 bilioni kuongeza umiliki wa kitalu

TPDC yasaini mikataba ya Sh60 bilioni kuongeza umiliki wa kitalu

Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limeongeza mara mbili umiliki wa kitalu cha gesi asilia cha Mnazi Bay baada ya kusaini mikataba miwili [...]
IMF yatabiri makubwa ukuaji wa uchumi Tanzania

IMF yatabiri makubwa ukuaji wa uchumi Tanzania

Kulingana na ripoti ya hivi karibuni ya Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), uchumi wa Tanzania unakaribia kufikia hatua kubwa, ukiwa na Pato la Taifa [...]
Bandari ya Dar kimbilio la wengi

Bandari ya Dar kimbilio la wengi

Mabadiliko katika miundombinu, teknolojia ya kupakua na kupakia shehena na kasi ya kuhudumia meli katika Bandari ya Dar es Salaam kumeifanya bandari h [...]
Tanzania ya pili uzalishaji wa tumbaku Afrika

Tanzania ya pili uzalishaji wa tumbaku Afrika

Waziri wa Kilimo nchini Tanzania, Mhe. Hussein Bashe amesema takwimu za hivi karibu zinaonyesha Tanzania imekuwa mzalishaji wa pili mkubwa wa tumbaku [...]
Bei ya mafuta yashuka

Bei ya mafuta yashuka

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa zitakazotumika [...]
1 11 12 13 14 15 99 130 / 989 POSTS
error: Content is protected !!