Tag: habari magazetini

1 13 14 15 16 17 99 150 / 989 POSTS
Rais Samia mgeni rasmi miaka 59 ya uhuru Zambia

Rais Samia mgeni rasmi miaka 59 ya uhuru Zambia

Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni Rasmi katika Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 59 ya Uhuru wa Jamhuri ya Zambia zinazotarajiwa kufanyika [...]
Ziara ya Rais Samia India itakavyodumisha, kuimarisha na kuendeleza uhusiano

Ziara ya Rais Samia India itakavyodumisha, kuimarisha na kuendeleza uhusiano

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mheshimiwa January Makamba amesema, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia [...]
Kardinali Rugambwa: Watanzania dumisheni upendo na umoja kwa wote

Kardinali Rugambwa: Watanzania dumisheni upendo na umoja kwa wote

Kardinali Protase Rugambwa amewataka Watanzani wawe tayari kujenga na kudumisha utamaduni wa upendo na mshikamano na watu wengine hata ambao si Watanz [...]
Mambo matatu yakufanya unapopitia simu ya mpenzi wako

Mambo matatu yakufanya unapopitia simu ya mpenzi wako

Kupitia simu ya mweza wako bila wao kujua ni makos, lakini mara nyingine inaweza kuwa na umuhimu. Ikiwa unapata hisia ya mambo kutokwenda sawa na h [...]
Waziri aagiza kitengo cha huduma kwa wateja kuimarishwa

Waziri aagiza kitengo cha huduma kwa wateja kuimarishwa

Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa ameliagiza Shirika la Ndege la Air Tanzania kuimarisha utoaji wa taarifa kwa wateja wao ili kuepusha sintofah [...]
Rais Samia aagiza kuanzishwa kwa tovuti za kumbukumbu za viongozi

Rais Samia aagiza kuanzishwa kwa tovuti za kumbukumbu za viongozi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameagiza kuanzishwa kwa tovuti ya Serikali ya kuhifadhi kumbukumbu za viongozi walio [...]
UBIA WA TWIGA WAONESHA ATHARI CHANYA ZA KIMAGEUZI ZA UCHIMBAJI MADINI, YASEMA BARRICK

UBIA WA TWIGA WAONESHA ATHARI CHANYA ZA KIMAGEUZI ZA UCHIMBAJI MADINI, YASEMA BARRICK

Kampuni ya Dhahabu ya Barrick (NYSE:GOLD) (TSX:ABX) na serikali ya Tanzania zimedhihirisha jinsi uchimbaji madini unavyoweza kuwa na manufaa makubwa p [...]
Matukio ya wavamiaji katika mgodi wa Barrick North Mara

Matukio ya wavamiaji katika mgodi wa Barrick North Mara

Tarehe 21 Septemba mwaka huu kulitokea tukio ambapo wavamiaji takribani 100 kwa njia isiyo halali walivamia eneo la mgodi wakati wa mvua kubwa. Mak [...]
Rais Samia anatekeleza Ilani ya CCM kwa vitendo

Rais Samia anatekeleza Ilani ya CCM kwa vitendo

Rais Samia Suluhu amegawa boti 34 kati ya 160 zilizonunuliwa na Serikali kwa wavuvi na wakulima wa mwani ikiwa ni utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi wa [...]
Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini Mtwara kukuza utalii wa matibabu

Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini Mtwara kukuza utalii wa matibabu

Rais Samia Suluhu amezindua Jengo la Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kusini Mtwara ambayo itakuwa ikitoa huduma za kibingwa na kibobezi. Hospitali h [...]
1 13 14 15 16 17 99 150 / 989 POSTS
error: Content is protected !!