Tag: habari magazetini

1 27 28 29 30 31 99 290 / 989 POSTS
Majizzo apinga mtazamo wa Hando kuhusu mikopo ya serikali

Majizzo apinga mtazamo wa Hando kuhusu mikopo ya serikali

Mkurugenzi wa EFM na TVE, Francis Ciza "Majizzo" amepinga mtazamo wa mtangazaji wa EFM redio, Gerald Hando kuhusu namna ambavyo serikali imekua ikichu [...]
Fahamu fukwe 5 zisizo na kiingilio Dar es Salaam

Fahamu fukwe 5 zisizo na kiingilio Dar es Salaam

Najua utajuliza kuhusu gharama na mwingiliano wa watu ambao wakati mwingine unaweza kusababisha kukosekana kwa utulivu, usihofu zipo fukwe nyingi jiji [...]
Ajiua akihofia kudaiwa hela ya soda

Ajiua akihofia kudaiwa hela ya soda

Kijana  anayefahamika kwa jina la Bukindu Bukindu (22), mkazi wa kijiji cha Ihega, Kata ya Bukoli wilayani Geita amejiua kwa kunywa sumu ya panya, aki [...]
Tanzania 10 bora nchi tajiri Afrika 2022

Tanzania 10 bora nchi tajiri Afrika 2022

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inashika namba 9 kwenye orodha ya nchi 10 tajiri kwa mujibu wa ripoti ya mtandao wa Zoom Afrika kwa mwaka 2022, Tanza [...]
Magazeti ya leo Desemba 21,2022

Magazeti ya leo Desemba 21,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatano Desemba 21,2022. [...]
Watu 2,300 kushuhudia ujazwaji maji Bwawa la Nyerere

Watu 2,300 kushuhudia ujazwaji maji Bwawa la Nyerere

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika ufunguaji wa lango la handaki mchepuko litakaloruhusu maji yaanze kujaa katika bwawa [...]
Magazeti ya leo Desemba 19,2022

Magazeti ya leo Desemba 19,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatatu Desemba 19,2022. [...]
Benki ya Dunia yatoa mkopo wa zaidi ya bilioni 700 kwa Tanzania

Benki ya Dunia yatoa mkopo wa zaidi ya bilioni 700 kwa Tanzania

Huenda tatizo la upatikanaji wa maji safi na salama vijijini  likapungua nchini Tanzania baada ya Benki ya Dunia kuidhinisha mkopo wa zaidi ya Dola za [...]
Kauli ya Serikali kuhusu ongezeka bei za vyakula

Kauli ya Serikali kuhusu ongezeka bei za vyakula

Serikali imewahakikishia Watanzania kuwa hakuna maeneo yatakayokosa chakula kwa kuwa inayo hifadhi ya kutosha huku ikisisitiza kuwa, bei ya bidhaa nyi [...]
Fahamu upara unaovutia zaidi duniani

Fahamu upara unaovutia zaidi duniani

Mashabiki wa Mwanamfalme William wa Uingereza waliokuwa wanaovutiwa na kipara chake, wafahamu kuwa wanatakiwa kuamisha mapenzi ya kwa nguri wa filamu, [...]
1 27 28 29 30 31 99 290 / 989 POSTS
error: Content is protected !!