Tag: habari magazetini
Majizzo apinga mtazamo wa Hando kuhusu mikopo ya serikali
Mkurugenzi wa EFM na TVE, Francis Ciza "Majizzo" amepinga mtazamo wa mtangazaji wa EFM redio, Gerald Hando kuhusu namna ambavyo serikali imekua ikichu [...]
Fahamu fukwe 5 zisizo na kiingilio Dar es Salaam
Najua utajuliza kuhusu gharama na mwingiliano wa watu ambao wakati mwingine unaweza kusababisha kukosekana kwa utulivu, usihofu zipo fukwe nyingi jiji [...]
Ajiua akihofia kudaiwa hela ya soda
Kijana anayefahamika kwa jina la Bukindu Bukindu (22), mkazi wa kijiji cha Ihega, Kata ya Bukoli wilayani Geita amejiua kwa kunywa sumu ya panya, aki [...]
Tanzania 10 bora nchi tajiri Afrika 2022
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inashika namba 9 kwenye orodha ya nchi 10 tajiri kwa mujibu wa ripoti ya mtandao wa Zoom Afrika kwa mwaka 2022, Tanza [...]
Magazeti ya leo Desemba 21,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatano Desemba 21,2022.
[...]
Watu 2,300 kushuhudia ujazwaji maji Bwawa la Nyerere
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika ufunguaji wa lango la handaki mchepuko litakaloruhusu maji yaanze kujaa katika bwawa [...]
Magazeti ya leo Desemba 19,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatatu Desemba 19,2022.
[...]
Benki ya Dunia yatoa mkopo wa zaidi ya bilioni 700 kwa Tanzania
Huenda tatizo la upatikanaji wa maji safi na salama vijijini likapungua nchini Tanzania baada ya Benki ya Dunia kuidhinisha mkopo wa zaidi ya Dola za [...]
Kauli ya Serikali kuhusu ongezeka bei za vyakula
Serikali imewahakikishia Watanzania kuwa hakuna maeneo yatakayokosa chakula kwa kuwa inayo hifadhi ya kutosha huku ikisisitiza kuwa, bei ya bidhaa nyi [...]
Fahamu upara unaovutia zaidi duniani
Mashabiki wa Mwanamfalme William wa Uingereza waliokuwa wanaovutiwa na kipara chake, wafahamu kuwa wanatakiwa kuamisha mapenzi ya kwa nguri wa filamu, [...]

