Tag: habari magazetini

1 37 38 39 40 41 99 390 / 989 POSTS
Watumiaji wa usafiri wa anga waongezeka

Watumiaji wa usafiri wa anga waongezeka

Idadi ya abiria wanaotumia usafiri wa anga nchini Tanzania imeongezeka kwa asilimia 38 ndani ya kipindi cha mwaka mmoja, baada ya kuimarishwa kwa mapa [...]

Kituo cha magonjwa ya mlipuko kujengwa Kagera

Serikali inatarajia kujenga kituo maalumu cha matibabu ya magonjwa ya milipuko Mkoani Kagera. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwal [...]
Mabilioni ya Benki ya Dunia kuifanya Jangwani kuwa ya kijani

Mabilioni ya Benki ya Dunia kuifanya Jangwani kuwa ya kijani

Benki ya Dunia imetoa mkopo wa Dola za Marekani milioni 200 (Sh bilioni 466.387) kugharamia mradi wa Bonde la Msimbazi ili kuepuka mafuriko na kuliwez [...]
Magazeti ya leo Oktoba 6,2022

Magazeti ya leo Oktoba 6,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Alhamisi Oktoba 6,2022. [...]
Vibanda umiza kusajiliwa na serikali

Vibanda umiza kusajiliwa na serikali

Bodi ya Filamu Tanzania imeanza uhakiki wa vibanda umiza vilivyopo mtaani lengo ni kuvisajili na kuweka utaratibu wa undeshaji. Pia wameunda Kamati [...]
Babu Tale kuwalipia tiketi wasanii 7 waliochaguliwa kuwania tuzo za AFRIMMA

Babu Tale kuwalipia tiketi wasanii 7 waliochaguliwa kuwania tuzo za AFRIMMA

Mbunge wa Morogoro Mashariki na Meneja wa Wasanii wa muziki chini ya lebo ya WCB, Hamisi Taletale ameainisha dhamira yake ya kupambania tiketi za kuwa [...]
Rais Samia atoa bilioni 2.7 kwa ajili ya tiba asili

Rais Samia atoa bilioni 2.7 kwa ajili ya tiba asili

Rais Samia Suluhu Hassan, ametoa sh. Bilioni 2.7 ili zitumike kufanya utafiti katika sekta ya tiba asili nchini. Taarifa ya kutolewa kwa fedha hizo [...]
Mgombea ajinadi kuwa na nguvu za kiume

Mgombea ajinadi kuwa na nguvu za kiume

Mgombea wa nafasi ya mjumbe wa halmashauri ya CCM wilaya ya Dodoma amewavunja mbavu wajumbe wa mkutano mkuu wa wilaya baada ya kuwaomba wamchague kwa [...]
Magazeti ya leo Oktoba 1,2022

Magazeti ya leo Oktoba 1,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumamosi Oktoba 1,2022. [...]
Waziri Makamba awahakikishia ushirikiano mzuri Equinor

Waziri Makamba awahakikishia ushirikiano mzuri Equinor

Waziri wa Nishati, Mhe. January Makamba, pamoja na Balozi wa Tanzania kwenye nchi za Nordic, Mhe. Grace Olotu na Balozi wa Norway nchini Tanzania, Mhe [...]
1 37 38 39 40 41 99 390 / 989 POSTS
error: Content is protected !!