Tag: habari magazetini

1 39 40 41 42 43 99 410 / 989 POSTS
Aliyesambaza taarifa za uongo kifo cha Mwakyembe adakwa

Aliyesambaza taarifa za uongo kifo cha Mwakyembe adakwa

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam, linawashikilia watuhumiwa wawili kwa makosa ya kimtandao kufuatia msako unaoendelea. Taarifa iliyoto [...]
Tanzania kuchangia bilioni 2.3 Global Fund

Tanzania kuchangia bilioni 2.3 Global Fund

Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango a,etoa mwito kwa mataifa duniani kuungana katika kutoa mchango kwa Mfuko wa Kimataifa wa Kupambana na Ukimwi, Kifua K [...]
Wabunge wapya wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki

Wabunge wapya wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki

Hatimaye mara baada ya kusubiri kwa muda mrefu wabunge tisa watakaoiwakilisha Tanzania katika Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (Eala)  wamepatikan [...]
Hizi ndio tozo zilizofutwa na serikali

Hizi ndio tozo zilizofutwa na serikali

Waziri wa Fedha na Mipango, Mheshimiwa Dkt. Mwigulu Nchemba amesema baada ya kupitia upya tozo za miamala ya fedha serikali imeamua kupunguza na kufut [...]
Marais wa Afrika kupakiwa kwenye basi ni dhihaka?

Marais wa Afrika kupakiwa kwenye basi ni dhihaka?

Na Abbas Mwalimu (0719258484). Jumatatu tarehe 19 Septemba, 2022. Kumekuwa na mijadala mingi kuhusu viongozi  wa Afrika kupakiwa kwenye usafi [...]
Panya Road walivyokamatwa na Polisi

Panya Road walivyokamatwa na Polisi

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema wahalifu sita wa unyang’anyi wa kutumia silaha wamefariki dunia baada ya kujeruhiwa wakijaribu [...]
Daraja la Wami kuanza kutumika Septemba 30

Daraja la Wami kuanza kutumika Septemba 30

Daraja jipya la Wami lenye urefu wa mita 513.5 na barabara unganishi ya kilometa 3.8 litaanza kutumika Septemba 30, 2022. Akizungumza katika ziara [...]
Magazeti ya leo Septemba 18,2022

Magazeti ya leo Septemba 18,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumapili Septemba 18,2022. [...]
Msimamo wa Tanzania bomba la mafuta EACOP

Msimamo wa Tanzania bomba la mafuta EACOP

Serikali ya Tanzania imesema ya kwamba miradi yote mikubwa inayotekelezwa nchini humo inafuata sheria na kanuni za kimataifa ikiwemo za utunzaji wa ma [...]
Rais Samia apongezwa na TUCTA kufanyia kazi vikokotoo

Rais Samia apongezwa na TUCTA kufanyia kazi vikokotoo

Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), limesema kikokotoo kipya cha mafao ya wastaafu cha asilimia 33 kimelenga kumkomboa mtumishi wa u [...]
1 39 40 41 42 43 99 410 / 989 POSTS
error: Content is protected !!