Tag: habari magazetini

1 51 52 53 54 55 99 530 / 989 POSTS
Maombi kwa mapacha

Maombi kwa mapacha

Hospitali ya Taifa Muhimbili inatarajia kufanya upasuaji mkubwa wa kutenganisha watoto pacha waliozaliwa wameungana sehemu ya kifua, tumbo na ini (lak [...]
Umaarufu wampeleka R Kelly jela miaka 30

Umaarufu wampeleka R Kelly jela miaka 30

Mwimbaji wa Marekani, Robert Kelly maarufu R Kelly amehukumiwa jana JUni 29,2022 kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kutumia hadhi yake ya kuwa nyot [...]
Faida za kuvaa soksi wakati wa tendo la ndoa

Faida za kuvaa soksi wakati wa tendo la ndoa

Tafiti iliyofanywa na Gert Holstege mwaka 2015 ilibanini kwamba asilimia 50 ya wanandoa waliweza kufurahia zaidi kushirikia tendo la ndoa wakiwa wamev [...]
Tanzania mwenyeji tuzo za MTV Africa 2023

Tanzania mwenyeji tuzo za MTV Africa 2023

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Mohamed Mchengerwa amekutana na kufanya mazungumzo na makamu wa Rais na meneja mkuu wa Paramount Africa and [...]
Kesi ya kina Mdee kuanza kusikilizwa leo

Kesi ya kina Mdee kuanza kusikilizwa leo

Shauri la waliokuwa wanachama 19 wa Chadema, Halima Mdee na wenzake wanaoomba ridhaa ya mahakama kufungua shauri la kupinga uamuzi wa chama chao kuwav [...]
Umuhimu wa sensa kwa Rais Samia

Umuhimu wa sensa kwa Rais Samia

Kamisa wa sensa nchini, Anne Makinda amesema Sensa ya Watu na Makazi itakayofanyika Agosti, mwaka huu, itakapokamilika itaisaidia serikali na kumpa Ra [...]
Auawa kwa kuchomwa kisu baada ya kukataa kuolewa

Auawa kwa kuchomwa kisu baada ya kukataa kuolewa

Mauaji ya mwanafunzi mmoja wakike aliyefahamika kwa jina la Nayera Ashraf nchini Egypt yamezua mjadala mkubwa baada ya kuhusishwa kwa wivu wa mapenzi [...]
Meli ya sulphur za bure kwa wananchi yakifa Mtwara

Meli ya sulphur za bure kwa wananchi yakifa Mtwara

Meli ya BOSS7 iliyobeba viwatilifu aina ya Salfa ya unga tani zaidi ya elfu 5 imewasili katika Bandari ya Mtwara ikitokea Uturuki, ikiwa ni muendelezo [...]
Kikokotoo cha zamani hakirudishwi

Kikokotoo cha zamani hakirudishwi

Serikali imesema haitarudisha kikokotoo cha zamani cha mafao ya wastaafu cha asilimia 50, kwa kuwa hakileti usawa katika ugawaji wa fedha wanazopata w [...]
Magazeti ya leo Juni 24,2022

Magazeti ya leo Juni 24,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Ijumaa Juni 24,2022. [...]
1 51 52 53 54 55 99 530 / 989 POSTS
error: Content is protected !!