Tag: habari magazetini

Diamond aachia #FOA
Msanii na mmiliki wa lebo ya Wasafi, Diamond Platnumz ametoa kirefu cha jina la EP yake 'FOA' kwamba ni 'First Of All' kupitia ukurasa wake wa instagr [...]
Reli ya kisasa kuanza kutumika rasmi Aprili
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa amewataka viongozi wa Shirika la Reli nchini (TRC) kuhakikisha ujenzi wa reli ya kisasa (SGR), ki [...]
Miriam Odemba aziwaza tuzo za BASATA
Mwanamitindo maarufu nchini, Miriam Odemba amejiunga rasmi na tasnia ya muziki ambapo katika siku ya kusherekea kumbukizi yake ya kuzaliwa akitimiza m [...]
Urusi na Tanzania mambo safi
Urusi yaridhia kusaidia kuondoa wanafunzi wa Kitanzania waliokuwa wamekwama katika mji wa Sumy Nchini Ukraine kuondoka nchini humo kupitia mpaka wa Uk [...]
CAG ageukia fedha za UVIKO-19
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, amesema ofisi yake imeanza kufanya ukaguzi maalumu wa matumizi ya fedha za UVI [...]
Kwa wanaume: fanya haya kuzuia kondomu isipasuke
Kwa mwanaume yoyote yule inabidi uwe makini pindi uvaapo kondomu wakati wa tendo la ndoa kwani inaweza kupasuka au kutoka na kubaki kwa mwanamke endap [...]

Viongozi wa dini wateta haya na Rais Samia kuhusu kesi ya Mbowe
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amezungumza na viongozi wa dini mbalimbali kuhusu maendeleo ya nchi katika kik [...]
Hamisa Mobetto na BlacChyna ndani ya mchongo mmoja
Mjasiriamali kutoka nchini Tanzania , Hamisa Mobetto ameweka wazi kwamba kuanzia sasa yeye ni balozi wa bidhaa za vipodozi vya whitenicious kutoka kam [...]
Mohammed Aboutrika aishukia vikali FIFA juu ya mgogoro wa Ukraine
Mkongwe wa timu ya taifa ya Misri Mohamed Aboutrika amelishukia vikali Shirika la Mpira wa Miguu duniani (FIFA) kwa kuitoa nchi ya Urusi kushiriki kat [...]
Tazama hapa video zinazo-trend Youtube leo Machi 1, 2022
Hizi hapa video zinazofanya vizuri katika mtandao wa Youtube Tanzania leo Machi 1, 2022. Husikubali kupitwa
https://www.youtube.com/watch?v=BRsoOKd [...]

