Tag: habari za burudani

1 105 106 107 108 109 154 1070 / 1532 POSTS
TMDA: Tahadhari dawa za nguvu za kiume

TMDA: Tahadhari dawa za nguvu za kiume

Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba(TMDA), imeonya kuwa watumiaji wa dawa za kuongeza nguvu za kiume pasi na maelekezo ya wataalamu wa afya wako hatarini ku [...]
Amuua baba yake baada ya kumkuta amelala na mkewe

Amuua baba yake baada ya kumkuta amelala na mkewe

Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga , linamshikilia Mwandu Shija (32) mkazi wa Ndala Manispaa ya Shinyanga kwa tuhuma za kumuua baba yake mzazi, Shija Ro [...]
Viwango vya kubadili fedha Aprili 28, 2022

Viwango vya kubadili fedha Aprili 28, 2022

Fahamu viwango elekezi vya kubadili fedha za kigeni nchini Tanzania leo kulingana na maelekezo ya Benki Kuu ya Tanzania. [...]
Jifunze kupasi shati

Jifunze kupasi shati

Utanashati na umaridadi wa mtu huletwa na muonekano wake wa nje kwanza kuanzia usafi wa mwili hadi mavazi aliyovaa na muonekano wa mavazi hayo. Una [...]
Zamaradi: Mwijaku anaupiga mwingi

Zamaradi: Mwijaku anaupiga mwingi

Mkurugenzi na Mmiliki wa Zamaradi TV, Zamaradi Mketema amempa pongezi mtangazaji wa redio ya Clouds, Mwijaku kwa kuwamwambia anafanya kazi nzuri sana [...]
Baba amnajisi mtoto wa miezi 11

Baba amnajisi mtoto wa miezi 11

Kamanda wa Polisi mkoani Tanga, Safia Jongo amethibitisha kutokea kwa tukio la mtoto wa miezi 11 kunajisiwa na baba yake wa kambo anayeishi eneo la Am [...]
Viwango vya kubadili fedha Aprili 27, 2022

Viwango vya kubadili fedha Aprili 27, 2022

Fahamu viwango elekezi vya kubadili fedha za kigeni nchini Tanzania leo kulingana na maelekezo ya Benki Kuu ya Tanzania. [...]
Putin atuma ujumbe kwa Rais Samia

Putin atuma ujumbe kwa Rais Samia

Rais wa Russia,Vladimir Putin amemtumia Rais Samia Suluhu, ujumbe wa kumtakia heri ya Sikuu ya Muungano. Putin amesema Tanzania na Russia zina mahusia [...]
Rais Samia aachia huru wafungwa 3826

Rais Samia aachia huru wafungwa 3826

Katika kuadhimisha Miaka 58 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Rais Samia Suluhu Hassan amewasamehe wafungwa wapatao 3,826 kwa masharti mbalimbali [...]
TAMISEMI yafafanua maombi ya ajira

TAMISEMI yafafanua maombi ya ajira

Baada ya kuwa na malalamiko juu ya mfumo wa uombaji ajira kada ya elimu na afya, Ofisi ya Rais- TAMISEMI imesema kwa sasa mfumo wa ajira unafanya kazi [...]
1 105 106 107 108 109 154 1070 / 1532 POSTS
error: Content is protected !!