Tag: habari za burudani
Serikali inavyowathamini wanaohamia Msomera
Katika kuhakikisha wakazi wanaohama kutoka Ngorongoro wanakuwa na maisha bora zaidi katika makazi mapya Msomera, Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jam [...]
Bweni la Bwiru Boys lateketea
Zaidi ya wanafunzi 70 katika shule ya wavulana ya Bwiru sekondari iliyopo manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza wamenusurika kifo baada ya bweni kuteketea [...]
Umaarufu wampeleka R Kelly jela miaka 30
Mwimbaji wa Marekani, Robert Kelly maarufu R Kelly amehukumiwa jana JUni 29,2022 kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kutumia hadhi yake ya kuwa nyot [...]
Zawadi za Rais Samia kwa Watanzania kutoka Oman
Haijapata kutokea, ndivyo unavyoweza kusema kuhusu mafanikio ya Serikali ya Awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan katika suala zima la kukuz [...]
Faida za kuvaa soksi wakati wa tendo la ndoa
Tafiti iliyofanywa na Gert Holstege mwaka 2015 ilibanini kwamba asilimia 50 ya wanandoa waliweza kufurahia zaidi kushirikia tendo la ndoa wakiwa wamev [...]
Matunda ya Royal Tour
Filamu ya Royal Tour pamoja na ziara za Rais Samia Suluhu Hassan nje ya nchi, zimefungua uchumi wa Tanzania kwa kuongeza uwekezaji kutoka Dola za Mare [...]
Wanaotuma ujumbe wa jiunge na freemason wakamatwa
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watu 23 kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya utapeli kwa njia ya mtandao.
Kukamatw [...]
Serikali yapiga marufuku wagonjwa wa saratani kurudishwa nyumbani
Taasisi ya Saratani ya Ocean Road imetakiwa kutomrudisha mgonjwa yeyote wa Saratani nyumbani kwa sababu ya kutokuwa na pesa za matibabu.
Kauli hiyo [...]
Wadudu hawa hufanya mapenzi kwenye uso wako
Wadudu chini ya ngozi ya uso kama vile Demodex folliculorum hutumia maisha yao yote kuishi ndani kabisa ya uso wa mwanadamu.
Usiku, viumbe hao huon [...]
Tanzania mwenyeji tuzo za MTV Africa 2023
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Mohamed Mchengerwa amekutana na kufanya mazungumzo na makamu wa Rais na meneja mkuu wa Paramount Africa and [...]

