Tag: habari za kimataifa

1 106 107 108 109 110 171 1080 / 1706 POSTS
AC na Wi-Fi ndani ya mwendokasi mpya

AC na Wi-Fi ndani ya mwendokasi mpya

Serikali imesema kuwa ina mpango wa kuweka huduma ya intaneti (Wi-Fi) na viyoyozi katika mabasi yaendayo haraka (Mwendokasi) kwa lengo la kukuza ushin [...]
Afrika Kusini kuwa na lugha za Taifa 12

Afrika Kusini kuwa na lugha za Taifa 12

NCHI ya Afrika Kusini ni ya tatu duniani kwenye orodha ya nchi zenye lugha za Taifa nyingi zaidi kwa kuwa na lugha 11 na bado namba hiyo inaongezeka. [...]
Mshindi wa ‘Nobel Prize’ arejea Zanzibar

Mshindi wa ‘Nobel Prize’ arejea Zanzibar

Mshindi wa Tuzo ya Fasihi ya Nobel 2021 Prof. Abdulrazak Gurnah ameitikia wito wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein M [...]
Kikokotoo kipya Julai Mosi

Kikokotoo kipya Julai Mosi

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Prof. Jamal Katundu ametangaza rasmi kanuni mpya ya Mafao ya Pensheni kufuatia [...]
Vijana 100 wapewa mtaji wa nguruwe

Vijana 100 wapewa mtaji wa nguruwe

Vijana 100 kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa wamepewa msaada wa nguruwe 100 na halmashauri hiyo ikishirikiana na mradi wa Youth Ag [...]
Mwendokasi 1,500

Mwendokasi 1,500

Wakati Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (Latra) ikitarajia kufanya mabadiliko ya nauli kwa mabasi yaendeyo haraka maarufu mwendokasi, Wakala wa [...]
Sababu ya Rais Samia kuelekeza tuzo kwa Magufuli

Sababu ya Rais Samia kuelekeza tuzo kwa Magufuli

Licha ya kupata tuzo ya heshima kuhusu ujenzi wa barabara barani Africa, Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameelekeza tuzo hiyo kwa mtangulizi wake [...]
Magazeti ya leo Mei 26,2022

Magazeti ya leo Mei 26,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Alhamisi Mei 26,2022. [...]
Viwango vya kubadili fedha Mei 26, 2022

Viwango vya kubadili fedha Mei 26, 2022

Fahamu viwango elekezi vya kubadili fedha za kigeni nchini Tanzania leo kulingana na maelekezo ya Benki Kuu ya Tanzania. [...]
Mtwara wang’oa vibao vya anuani za makazi

Mtwara wang’oa vibao vya anuani za makazi

Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara-Mikindani imeeleza kusikitishwa na vitendo vya baadhi ya wananchi vya kung’oa vibao vya anuani ya makazi. Kufuati [...]
1 106 107 108 109 110 171 1080 / 1706 POSTS
error: Content is protected !!