Tag: habari za kimataifa
Rais Samia hahusiki na sadaka ya Sh 5,000 Pemba, ni upotoshaji
Mkuu wa Mkoa Kusini Pemba, Amour Hamad Salehe, amekanusha taarifa za uzushi zilizosambazwa kwenye mitandao ya kijamii kwamba Mhe Rais Samia Suluhu Has [...]
Rais Samia : Ripoti ya CAG ipatiwe majibu
Rais Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi wateule kuhakikisha wanapitia na kufanyia kazi ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ili kuji [...]
Taarifa za kiongozi wa mbio za mwenge zafanyiwa kazi
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), imefanya uchunguzi wa taarifa ya kiongozi wa mbio za mwenge mwaka 2023, Abdalah Shaibu ambaye ali [...]
Rais Samia asamehe faini za bili za maji
Rais wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassani ameelekeza Wizara ya Maji kupitia Mamlaka za Maji kutoa hamasa kwa Wateja wake kwa kusamehe madeni yao na k [...]
Neema kwa wahitimu wa kidato cha nne mwaka 2023
Serikali imesema imefungua wigo kwa wahitimu wa kidato cha nne mwaka 2023 kubadili machaguo ya tahsusi ‘combinations’ ya kidato cha tano, kozi za vyuo [...]
Miaka mitatu bila Magufuli, kazi inaendelea
Leo Rais Samia Suluhu Hassan anatimiza miaka mitatu madarakani akiwa kama Rais wa Tanzania baada ya kifo cha Rais wa Serikali ya Awamu ya Tano, Dk. Jo [...]
Dkt. Kikwete aibuka kinara tuzo za Kiongozi Bora wa Afrika
Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete ametunukiwa tuzo ya kiongozi bora wa mwaka 2023 katika Tuzo za Kiongozi Bora wa Afrika kwa Mwaka 2023 (African Leadership [...]
Eng. Hersi : Rais Samia anamchango mkubwa kwenye soka letu
Rais wa Timu ya mpira wa miguu ya Yanga SC , Eng. Hersi Said amesema mafanikio katika sekta ya michezo hasa mpira wa kiguu nchini yametokana na mchang [...]
Mpango: Tanzania inakopesheka
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango amesema taasisi na mashirika makubwa duniani yameitaja Tanzania kama [...]
Serikali kuhakikisha kila kijiji kina shule
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imekusudia kujenga shule kwenye kila kijiji na vitongoji vikubwa ili kuhakikisha watoto wote wanapata fur [...]