Tag: habari za kimataifa
Magazeti ya leo Aprili 18,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatatu Aprili 18,2022.
[...]
Viwango vya kubadili fedha Aprili 18, 2022
Fahamu viwango elekezi vya kubadili fedha za kigeni nchini Tanzania leo kulingana na maelekezo ya Benki Kuu ya Tanzania.
[...]
Rais wa Burundi ajitwika msalaba
Ijumaa Kuu ni siku ya kukumbuka mateso ya Yesu na makanisa mbalimbali kuigiza mateso ya Yesu kama njia ya kufundisha waumini kuhusu alivyojitoa Yesu k [...]
Wizara ya afya yatoa nafasi 1,621 za kazi
Wizara ya Afya kupitia kibali cha Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora chenye Kumb. Na. FA.97/128/01/”B”/40 cha tarehe 01 Aprili, 20 [...]
Diamond: Mimi ndio chanzo tuzo kufa
Mmiliki wa lebo ya Wasafi na msanii, Diamond Platnumz amefungua na kueleza kuwa yeye ndiyo chanzo cha kusitishwa kwa Tuzo za Muziki Tanzania (TMA) mia [...]
Ajali yaua Iringa, Neville Meena anusurika
Watu wawili wamefariki dunia katika ajali mbaya iliyohusisha gari dogo na malori mawili usiku wa kuamkia leo, muda wa Saa 4:40 usiku, Iringa.
Katik [...]
NZEGA: Wanachama 53 wa Chadema wahamia CCM
Wanachama 53 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wilaya ya Nzega wametangaza kukihama chama hicho na kuhamia Chama Cha Mapinduzi (CCM) waki [...]
Magazeti ya leo Aprili 15,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Ijumaa Aprili 15,2022.
[...]
Funzo mimba ya Rihanna
Kama wanawake kuna kitu cha kujifunza kutoka kwa mwanamitindo, mfanyabiashara, muimbaji na bilionea Rihanna kutokana na jinsi anavyoishi kipindi hiki [...]

