Tag: habari za kimataifa
NECTA kuja na mfumo mpya wa usahihishaji
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda amesema mfumo mpya wa usahihishaji mitihani utaokoa shilingi milioni 550 zinazotengwa kwa [...]
Muhimbili: Hatuhusiki
Hospitali ya Taifa Muhimbili imetoa taarifa ya kukataa kuhusika na usambazaji wa video inayomuonyesha Mwanamuziki Profesa Jay akiwa katika chumba cha [...]
Aliyepandikizwa moyo wa nguruwe afariki
David Bennett binadamu wa kwanza kufanyiwa upasuaji wa upandikizwaji wa moyo wa nguruwe amefariki dunia Machi 8 mwaka huu, David amefariki akiwa na um [...]
Konyagi yaja na chupa ya mwanamke
Katika kusherekea Siku ya Wanawake Duniani, Kampuni ya Tanznaia Distilleries Limited, kupitia kinywaji chake cha Konyagi imezindua chpa maalumu ikilen [...]
Tahadhari homa ya manjano
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema Watanzania wanapaswa kuchukua tahadhari ya mlipuko wa ugonjwa wa homa ya manjao uliopo nchini Kenya na kuahidi ku [...]
Tazama hapa video zinazo-trend Youtube Machi 9,2022
Hizi hapa video zinazofanya vizuri katika mtandao wa Youtube Tanzania leo Machi 9,2022. Husikubali kupitwa
https://www.youtube.com/watch?v=BRsoOKdm [...]
Maagizo ya Makalla kwa Taasisi hizi
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amezielekeza Taasisi za TANROAD, TARURA, DAWASA NA TANESCO kuhakikisha wanaboresha utoaji wa huduma il [...]
Wema amuumbua Mange
Muigizaji Wema Sepetu ameamua kumtolea uvivu mwanadada anyefahamika kama Dada wa taifa, Mange Kimambi kwa kumtaka aache tabia yakuandika taarifa ambaz [...]
Waiba jeneza msikitini
Watu wasiojulikana katika kijiji cha Rivango, kata ya Mchauru, wilayani Masasi mkoani Mtwara, wamevunja mlango wa msikiti na kuiba jeneza linalotumika [...]
Tazama hapa video zinazo-trend Youtube Machi 8, 2022
Hizi hapa video zinazofanya vizuri katika mtandao wa Youtube Tanzania leo Machi 8, 2022. Husikubali kupitwa
https://www.youtube.com/watch?v=BRsoOKd [...]