Tag: habari za kimataifa

1 138 139 140 141 142 171 1400 / 1707 POSTS
Insta yamfungia Kanye: apanga kuja na mtandao wake

Insta yamfungia Kanye: apanga kuja na mtandao wake

Kampuni ya Meta imemfungia rapa Kanye West "Ye" kutopost kwa saa 24 kuanzia jana Machi 16 baada ya rapa huyo kupost picha ya mchekeshaji Trevor Noah n [...]
Mwaka Mmoja bila Magufuli

Mwaka Mmoja bila Magufuli

Leo Watanzannia wanaadhimisha mwaka mmoja tangu kifo cha aliyekuwa Rais wa awamu ya tano, Dk John Joseph Pombe Magufuli aliyefariki Machi 17, 2021, hu [...]
Tazama hapa video zinazo-trend Youtube Machi 16,2022

Tazama hapa video zinazo-trend Youtube Machi 16,2022

Hizi hapa video zinazofanya vizuri katika mtandao wa Youtube Tanzania leo Machi 16,2022. Husikubali kupitwa https://www.youtube.com/watch?v=njxSViO [...]
Mike Tyson na Bangi za pipi

Mike Tyson na Bangi za pipi

Mwanamasumbwi kutoka nchini Marekani Mike Tyson amezindua aina mpya za bangi za pipi ambazo zipo kwenye umbo la sikio la binadamu alizozipa jina la 'M [...]
Mwanamke: Zingatia haya kabla ya kunyoa

Mwanamke: Zingatia haya kabla ya kunyoa

Kunyoa kipara kwa mwanamke ni uamuzi wa kijasiri sana kwani inafahamika kwamba nywele ni moja ya urembo kwa mwanamke yoyote yule. Lakini inabidi ut [...]
Hali ya Watanzania waliopo Ukraine

Hali ya Watanzania waliopo Ukraine

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula amesema kuwa Watanzania wote waliokuwa wamekwama nchini Ukraine ku [...]
Mange Kimambi apata pigo

Mange Kimambi apata pigo

Zaidi ya wafanyakazi 10 wa Mange Kimambi app wamekamatwa na polisi kwa tuhuma za matumizi mabaya ya mtandao kutokana na video iliyowekwa kwenye mtanda [...]
Mtoto wa kigogo afariki akimuokoa mpenzi wake

Mtoto wa kigogo afariki akimuokoa mpenzi wake

Juan Carlos Escotet Alviarez mtoto wa bilionea wa Uhispania Juan Carlos Escotet Rodriguez amefariki dunia katika jitihada za kuokoa maisha ya mkewe mt [...]
Ujumbe wa Samia Kwa Polepole

Ujumbe wa Samia Kwa Polepole

Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amewaapisha viongozi wawili kati ya tano aliowateua jana Machi 15 ambao ni Bw. Humph [...]
Kenya na Tanzania zaondoa vikwazo 56 vya kibiashara

Kenya na Tanzania zaondoa vikwazo 56 vya kibiashara

Tanzania na Kenya zimefanikiwa kuondoa vikwazo vingine 10 vya kibiashara na kutimiza jumla ya vikwazo vilivyoondolewa kufikia 56 baada y [...]
1 138 139 140 141 142 171 1400 / 1707 POSTS
error: Content is protected !!