Tag: habari za kimataifa
Wanaopinga maboresho bandarini wanania tofauti
Nimejaribu kukumbuka matukio machache ya awamu zilizopita ya maamuzi ya Marais wa awamu zote kuhusu uwekezaji, na kuona kama kuna awamu yoyote wapinza [...]
Chama cha Waagizaji na Wasambazaji mafuta chakanusha upotoshaji unaosambaa mitandaoni
Baada ya kuwepo kwa taarifa za kukosekana kwa mafuta ya dizeli na petroli nchini, Chama Cha Waagizaji na Wasambazaji wa Mafuta Tanzania ( TAOMAC) kime [...]
Hotuba ya Rais Samia katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika
Hii hapa hotuba ya Rais Samia Suluhu aliyoisoma katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Rasilimali Watu (Africa Heads of State Human Capital [...]

Msisitizo wa Rais Samia kuhusu umoja na muungano wa taifa
Wadau wamebaini kuwa wito wa mara kwa mara wa Rais Samia Suluhu Hassan wa kukuza umoja na kudumisha amani unakuja wakati muhimu ambapo Tanzania imeona [...]
Mapendekezo matatu yakuboresha rasilimali watu Afrika
Makamu wa Rais wa Tanzania Dk. Philip Isdor Mpango ametoa mapendekezo matatu yatayosaidia kuimarisha uwezo wa rasilimali watu barani Afrika ikiwemo ta [...]
Rais Samia kufanikisha ujenzi wa mnara mrefu Afrika
Rais Samia Suluhu Hassan amesema amevutiwa zaidi na ramani ya Uwanja wa Mashujaa, Dodoma ambapo jambo la kipekee na kubwa zaidi katika ramni hiyo ni u [...]
Hakuna uhaba wa mafuta nchini
WAKALA wa Uagizaji wa Mafuta kwa Pamoja (PBPA) umesema hakuna uhaba wa mafuta nchini.
Kaimu Mtendaji Mkuu wa PBPA, Erasto Mulokozi amelieleza Habar [...]
Rais Samia ampa milioni 2 Mariam kwa kukumbatia watoto njiti
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za pongezi kwa Mariam Mwakabungu (25) anayejitolea kukumbatia watoto njiti waliotelekezwa Hospita [...]
Tanzania na Hungary kuangazia usawa wa kijinsia
RAIS Samia Suluhu Hassan amesema serikali yake inalitizama kwa jicho la tatu suala la usawa wa kijinsia na kuwainua wanawake katika jamii.
Rais Sam [...]
Wavulana wakimbiza matokeo kidato cha sita 2023
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) leo limetangaza matokeo ya mtihani ya kidato cha sita kwa mwaka 2023 huku ufaulu wa jumla kwa watahiniwa wa shule [...]