Tag: habari za kimataifa

1 66 67 68 69 70 164 680 / 1636 POSTS
Mpango: Mrema alikuwa kiongozi mkweli na mzalendo

Mpango: Mrema alikuwa kiongozi mkweli na mzalendo

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango pamoja na Mkewe Mama Mbonimpaye Mpango wamefika salasala Jijini Dar es salaa [...]
Sensa ni siku 7 tunaomba uvumilivu

Sensa ni siku 7 tunaomba uvumilivu

Kamisaa wa Sensa ya Watu na Makazi, Anne Makinda amesema wananchi watahesabiwa kwa siku saba hivyo wananchi ambao hawakufikiwa na makarani jana wasich [...]
Madhara ya kutumia kondomu

Madhara ya kutumia kondomu

Watu wengi wanatumia kondomu kama kinga ya kujilinda dhidi ya magonjwa ya zinaa na wengine kuepuka kupata mimba lakini ukweli ni kwamba kondomu zina m [...]
Karani wa Sensa ajinyonga Tabora

Karani wa Sensa ajinyonga Tabora

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Dkt. Batilda Buriani ametoa taarifa ya kifo cha mmoja kati ya makarani wa Sensa wilayani Igunga mkoani Tabora aliyefahamika kwa [...]
Karani mwingine wa Sensa aporwa kishkwambi Arusha

Karani mwingine wa Sensa aporwa kishkwambi Arusha

Karani wa Sensa ya Watu na makazi Jiji la Arusha, Sarapia Kiwango, ameporwa kishikwambi chake, wakati akijiandaa kwenda kuhesabu makundi maalum, usiku [...]
Karani aporwa kishkwambi Katavi

Karani aporwa kishkwambi Katavi

Karani wa Sensa Kata ya Majimoto, Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe, mkoani Katavi, Kenan Kasekwa, amevamiwa usiku wa kuamkia leo na kuporwa kishikwamb [...]
Askari aliyempiga virungu kijana achukuliwa hatua

Askari aliyempiga virungu kijana achukuliwa hatua

Jeshi la Polisi limetoa ufafanuzi kuhusu video iliyosambaa kwenye mitandao ya kijamii ikimuonyessha kijana mmoja aliyefungwa pingu na kupigwa virungu [...]
Mtoto wa Simbachawene kupanda kizimbani kesho

Mtoto wa Simbachawene kupanda kizimbani kesho

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema linatarajia kumfikisha mahakamani kesho mtoto wa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bun [...]
Mwigulu kusomesha watoto wa diwani aliyekufa ajalini

Mwigulu kusomesha watoto wa diwani aliyekufa ajalini

Mbunge wa Singida Magharibi, Dk Mwigulu Nchemba ameahidi kulipa ada za masomo ya watoto wa aliyekuwa Diwani wa Viti Maalumu Tarafa ya Kinampanda wilay [...]
Wahadzabe wapewa Nyumbu 20, wakubali kuhesabiwa

Wahadzabe wapewa Nyumbu 20, wakubali kuhesabiwa

Jamii ya Wahadzabe iliyopo katika eneo la Yaeda Chini jana wamekabidhiwa kitoweo cha nyama pori aina ya Nyumbu na Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Makongoro N [...]
1 66 67 68 69 70 164 680 / 1636 POSTS
error: Content is protected !!