Tag: habari za kimataifa

1 77 78 79 80 81 171 790 / 1707 POSTS
Bashe: Marufuku kuwauzia madalali parachichi mbichi

Bashe: Marufuku kuwauzia madalali parachichi mbichi

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amepiga marufuku wakulima kuuza parachichi kwa madalali zikiwa hazijakomaa na kuiva. Bashe ametoa onyo hilo jana Ag [...]
Magazeti ya leo Agosti 11,2022

Magazeti ya leo Agosti 11,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Alhamisi Agosti 11,2022. [...]
Rais Samia atangaza ujio wa Filamu ya The Hidden Tanzania

Rais Samia atangaza ujio wa Filamu ya The Hidden Tanzania

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema kwamba vivutio ambavyo havikuonyeshwa kwenye awamu ya kwanza ya filamu ya Ro [...]
Gharama ya kumuona daktari mbioni kufutwa

Gharama ya kumuona daktari mbioni kufutwa

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu ameshangazwa na baadhi ya hospitali kuwatoza wagonjwa kiasi cha shilingi 15,000 ili kuweza kumuona daktari jambo ambalo s [...]
Viongozi wa dini walaani kitendo cha Tunda Man kutumia jeneza Simba Day

Viongozi wa dini walaani kitendo cha Tunda Man kutumia jeneza Simba Day

Baadhi ya viongozi wa dini wakiwamo maaskofu, wameibuka na kutoa kauli kuhusu kitendo cha klabu ya Simba kuruhusu wato burudani kuingia na jeneza lili [...]
Ujumbe kwa Simba na Yanga kutoka Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo

Ujumbe kwa Simba na Yanga kutoka Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Mohamed Omary Mchengerwa amezipongeza na kuzitaki kila heri timu za Simba na Yanga kuelekea mchezo wao wa [...]
Kizz Daniel: Kweli begi langu moja lilisahaulika Nairobi

Kizz Daniel: Kweli begi langu moja lilisahaulika Nairobi

Msanii wa nchini Nigeria, Daniel Anidugbe maarufu Kizz Daniel  amewaomba radhi Watanzania kwa kushindwa kufanya onyesho lake mkoani Dar es Salaam. [...]
Picha za Muonekano wa Barabara ya Njombe- Makete KM 107.4

Picha za Muonekano wa Barabara ya Njombe- Makete KM 107.4

Muonekano wa Barabara ya Njombe-Makete km 107.4 ambayo imefunguliwa rasmi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan katika h [...]
Kamanda Muliro azungumzia sakata la Kizz Daniel

Kamanda Muliro azungumzia sakata la Kizz Daniel

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro ameeleza hatua za Jeshi la Polisi kuhusu sakata la Msanii kutoka nchi Nigeria, Kizz Da [...]
AYO TV washushiwa rungu na TCRA

AYO TV washushiwa rungu na TCRA

Televisheni ya mtandaoni ya Millard Ayo (AYO TV) inatakiwa kuomba radhi siku tatu mfululizo baada ya kuchapisha maudhui yanayoonyesha miili ya watoto [...]
1 77 78 79 80 81 171 790 / 1707 POSTS
error: Content is protected !!