Tag: juma jux

1 17 18 19 20 21 57 190 / 564 POSTS
Rais Samia amaliza mgogoro uliodumu kwa miaka 22 Mtwara

Rais Samia amaliza mgogoro uliodumu kwa miaka 22 Mtwara

Rais Samia Suluhu Hassan ameidhinisha malipo ya Sh milioni 816.7 ikiwa ni fidia kwa wananchi wa Mangamba Juu manispaa ya Mtwara Mikindani mkoani Mtwar [...]
Rungu la TCRA lawashukia Zama Mpya

Rungu la TCRA lawashukia Zama Mpya

Kamati ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imeitoza faini ya Sh milioni mbili luninga ya mtandaoni ya Zama Mpya kwa kosa la kuchapis [...]
Hatua atakazo fanya Mfalme Charles III

Hatua atakazo fanya Mfalme Charles III

Kufuatia kifo cha Malkia Elizabeth, Mkuu wa zamani wa Wales, Charles, amerithi kiti cha ufalme bila sherehe yoyote. Hata hivyo, kuna idadi ya hatua za [...]
Watanzania milioni 5.5 ni mbumbumbu

Watanzania milioni 5.5 ni mbumbumbu

 Wakati dunia leo akiadhimisha siku ya  Kimataifa ya Kusoma na Kuandika, Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (Unesco) limesema [...]
Auawa baada ya kubaka mbuzi

Auawa baada ya kubaka mbuzi

Kijana mmoja kutoka Mtunzini huko KwaZulu-Natal, Afrika Kusini ameuawa kutokana na kichapo cha wananchi wenye hasira kali baada ya kumfuma akibaka mbu [...]
Sababu za MV. Magogoni kukwama

Sababu za MV. Magogoni kukwama

Taarifa kutoka kwa Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) imeeleza sababu ya kivuko cha MV Magogoni kukwamba na namna walivyokinasua. [...]
Mkurugenzi Mkuu ZAECA ajiuzulu

Mkurugenzi Mkuu ZAECA ajiuzulu

Siku tano baada ya Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi kuitaka Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi (Zaeca) kujitathmini, Mkurugenzi Mkuu wa [...]
Mikakati ya kuinusuru NHIF

Mikakati ya kuinusuru NHIF

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema Serikali itachukua hatua mbalimbali ikiwemo kutibu mapema magonjwa yasiyoambukiza ili kuunusuru Mfuko wa Taifa wa [...]
Ufafanuzi kuhusu tozo

Ufafanuzi kuhusu tozo

Hatimaye baada ya kuwepo kwa malalamiko ya wananchi kuhusiana na tozo za miamala ya simu zilizoanza kutozwa na Serikali Julai Mosi mwaka huu, Serikali [...]
Tanzania na Qatar kushirikiana sekta ya afya

Tanzania na Qatar kushirikiana sekta ya afya

Ujumbe wa Tanzania uliopo ziarani nchini Qatar umekutana na kufanya mazungumzo na Uongozi wa Hamad Medical Corporation (HMC) Jijini Doha, Qatar ikiwa [...]
1 17 18 19 20 21 57 190 / 564 POSTS
error: Content is protected !!