Tag: juma jux

1 20 21 22 23 24 57 220 / 564 POSTS
Rais Samia afanya uteuzi EWURA

Rais Samia afanya uteuzi EWURA

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Prof. Mark James Mwandosya kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maj [...]
Tazama hapa video zinazo-trend Youtube Agosti 17,2022

Tazama hapa video zinazo-trend Youtube Agosti 17,2022

Hizi hapa video zinazofanya vizuri katika mtandao wa Youtube Tanzania leo Agosti 17,2022. Husikubali kupitwa, https://www.youtube.com/watch?v=78Zf- [...]
Shaka awasha moto Kaliua

Shaka awasha moto Kaliua

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa(NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Shaka Hamdu Shaka amesema Chama hiko hakiko tayari kuona wala kusikia mtendaji wa [...]
Ruto alivyoibuka kidedea

Ruto alivyoibuka kidedea

Hatimaye Tume ya Uchaguzi Kenya imetangaza matokeo ya uchaguzi kama ifuatavyo: William Ruto - 7,176,141 Votes 50.49%   Raila Odinga - 6 [...]
Rais Samia awasihi wazazi kuwapa lishe watoto

Rais Samia awasihi wazazi kuwapa lishe watoto

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan amewataka wazazi katika Mkoa wa Iringa kuongeza usimamizi katika masuala ya lishe bora [...]
Pacha aliyebaki afariki

Pacha aliyebaki afariki

Pacha aliyesalia ‘Rehema’ kati ya mapacha wawili waliotenganishwa Julai Mosi mwaka huu, amefariki dunia jana saa 5 asubuhi Agosti 11, wakati akiendele [...]
Mrithi wa Panya Magawa ni Kennedy

Mrithi wa Panya Magawa ni Kennedy

Baada ya Panya Magawa kufariki dunia mwanzoni mwa mwaka huu , Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), mkoani Morogoro, kimempata mrithi wake mwenye j [...]
Rais Samia ataka Kituo cha Watoto kujengwa Soko la Njombe

Rais Samia ataka Kituo cha Watoto kujengwa Soko la Njombe

Uongozi wa Mkoa wa Njombe umetakiwa kuweka kituo maalumu cha kulelea watoto katika soko kuu la Njombe kwa ajili ya watoto wa wanawake wanaofanya biash [...]
Viongozi wa dini walaani kitendo cha Tunda Man kutumia jeneza Simba Day

Viongozi wa dini walaani kitendo cha Tunda Man kutumia jeneza Simba Day

Baadhi ya viongozi wa dini wakiwamo maaskofu, wameibuka na kutoa kauli kuhusu kitendo cha klabu ya Simba kuruhusu wato burudani kuingia na jeneza lili [...]
Vijana wanavyoinuliwa na Rais Samia kupitia vyuo vya ujuzi

Vijana wanavyoinuliwa na Rais Samia kupitia vyuo vya ujuzi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali ya Awamu ya Sita imejizatiti katika kutoa elimu ujuzi na hivyo itaen [...]
1 20 21 22 23 24 57 220 / 564 POSTS
error: Content is protected !!