Tag: nafasi za kazi

1 12 13 14 15 16 80 140 / 800 POSTS
Afariki dunia baada kunywa pombe bila kula

Afariki dunia baada kunywa pombe bila kula

Asia Eliya (24), Mhudumu wa baa Nyemo amefariki dunia kwa madai ya kunywa pombe kupita kiasi bila kula chakula. Mwenyekiti wa Mtaa wa Picha ya Ndeg [...]
Rais Samia apongezwa na Rais Mwinyi

Rais Samia apongezwa na Rais Mwinyi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Hussein Ali Mwinyi amempongeza na kumshukuru Rais wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan kwa kuu [...]
Wilaya 64 kujengwa vyuo vya ufundi stadi

Wilaya 64 kujengwa vyuo vya ufundi stadi

Serikali imesema imetenga Sh bilioni 100 kwa ajili ya ujenzi wa vyuo vya ufundi stadi, katika wilaya 64 ambazo zilikuwa hazijajengewa vyuo hivyo. A [...]
ACT- Wazalendo wataka mfumo wa Air Tanzania kufumuliwa

ACT- Wazalendo wataka mfumo wa Air Tanzania kufumuliwa

Chama Cha ACT-Wazalendo kimeitaka Serikali kubadili haraka mfumo wa uendeshaji wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) ili kuliepusha na hasara ambayo ime [...]
Madudu ukaguzi maalum wa CAG REA 2015/2016 mpaka 2019/2020

Madudu ukaguzi maalum wa CAG REA 2015/2016 mpaka 2019/2020

UKAGUZI wa Ufanisi wa Mamlaka ya Nishati Vijijini (REA) uliofanywa na CAG umeimulika REA kuanzia mwaka 2015/2016 mpaka 2019/2020. Ukaguzi umefanyik [...]
Bei mpya za mafuta, Petroli na Dizeli zashuka

Bei mpya za mafuta, Petroli na Dizeli zashuka

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma ya Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei kikomo ya mafuta ya petroli, dizeli na taa ambapo bei imepungua kwa Sh 187 kwa [...]
Fahamu madudu matano ya CAG yaliyomkwaza Rais Samia

Fahamu madudu matano ya CAG yaliyomkwaza Rais Samia

 Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema mageuzi ya kimfumo pamoja na usimamizi thabiti wa sheria ndio vitu vitakavyosaidia kupambana na ubadhiri [...]
Waziri Ummy: Hakuna wagonjwa wapya wa Marburg

Waziri Ummy: Hakuna wagonjwa wapya wa Marburg

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema hadi kufikia jana tarehe 25 Machi, 2023 hakuna wagonjwa wapya wa Marburg walioripotiwa licha ya kupokea tetesi se [...]
Aweso amuwakilisha Rais Samia Mkutano wa UN

Aweso amuwakilisha Rais Samia Mkutano wa UN

Waziri wa Maji Mhe Jumaa Hamidu Aweso anamwakilisha Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Mkutano wa Umo [...]
Wafukua kaburi na kuiba sehemu za siri za marehemu

Wafukua kaburi na kuiba sehemu za siri za marehemu

Watu wasiojulikana wamefukua kaburi alipokuwa amezikwa marehemu Ruben Kasala (74) na kuondoa sehemu za siri. Mtoto wa marehemu, Frank Kasala amesem [...]
1 12 13 14 15 16 80 140 / 800 POSTS
error: Content is protected !!