Tag: nafasi za kazi
Benki ya Dunia yaitengea Tanzania trilioni 5
Benki ya Dunia imeshukuriwa kwa kuitengea Tanzania dola za Marekani bilioni 2.1 sawa na shilingi trilioni 4.9 katika mzunguko wa 20 wa IDA (Julai 2022 [...]
Padri amnajisi mtoto wakati akiungama
Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi imeelezwa namna Paroko wa Parokia Teule ya Mtakatifu Dionis Aropagita ya Jimbo Katoliki la Moshi, Padri Sosthenes Baha [...]
Sonona inavyoathiri wanawake kiakili
Watu milioni nchini wanaishi na ugonjwa wa sonona huku wengi wao wakiwa wanawake.
Kauli hiyo imetolewa jana Dar es Salaam na Waziri wa Afya, Ummy M [...]
Magazeti ya leo Oktoba 11,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumanne Oktoba 11,2022.
[...]
Tanzania na Kenya zapanga kuondoa vikwazo 14 vya biashara
Huenda uchumi wa Tanzania na Kenya ukakua zaidi kwa siku za usoni mara baada ya viongozi wakuu wa mataifa hayo kuwaagiza mawaziri wa biashara na uweke [...]
Fahamu chanzo cha kufeli kwa wanafunzi wa Shule ya Sheria
Anguko kwenye mtihani wa uwakili katika Shule Kuu ya Sheria Tanzania (LST) limefikia hatua mbaya na kuwaibua wanasheria na wadau wakitaka utafiti ufan [...]
Juhudi za Rais Samia zimepandisha uwezo wa Tanzania kukopesheka
Kutokana na hatua zilizochukuliwa na Rais Samia Suluhu, viwango vya Tanzania vimepanda kwenye tathmini ya kukopesheka na kuvutia uwekezaji kutoka nje [...]
Kituo cha magonjwa ya mlipuko kujengwa Kagera
Serikali inatarajia kujenga kituo maalumu cha matibabu ya magonjwa ya milipuko Mkoani Kagera.
Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwal [...]
Magazeti ya leo Oktoba 6,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Alhamisi Oktoba 6,2022.
[...]
Barua ya Museveni akiiomba Kenya msamaha
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni ameomba msamaha wananchi wa Kenya na Jumuiya ya Afrika Mashariki kutokana na mijadala iliyoanzishwa na mtoto wake Jene [...]