Tag: nafasi za kazi
Magazeti ya leo Julai 8,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Ijumaa Julai 8,2022.
[...]
Rais Samia akemea mila potofu
Rais Samia Suluhu Hassan, ameitaka jamii kupiga vita ubakaji pamoja na mila potofu zinazohalalisha ndoa za utotoni,.
Pia amewataka watumishi wa afy [...]
10 bora masomo ya sayansi
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) leo Jumanne Julai 5, 2022 limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha sita na kusema ufaulu umeongezeka kwa asil [...]
Rais Samia atimiza ahadi reli ya SGR
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameshuhudia utiaji saini Mkataba wa ujenzi wa reli ya kisasa kwa kipande cha nne kut [...]
LaLiga waipongeza Yanga SC
Yanga yafikia Next level msimu huu hadi kufikia hatua ya kuchapishwa kwenye ukurusa wa Laliga na kupewa pomgezi kwa ushindi wa Kombe la AFSC.
& [...]
Rais wa Bara la Afrika
Katibu Mtendaji wa Eneo HUru la Biashara Afrika (AfFCTA), Wakele Mene amesema Watanzania wanapaswa kutambua kuwa Rais Samia Suluhu Hassan si kiongozi [...]
Yanga haina mpinzani
Baada ya vuta n’kuvute kwa dakika 120 kati ya Yanga dhidi ya Coastal Union kwenye Uwanja wa Sheikh Abeid jijini Arusha hatimaye bingwa wa kombe la sh [...]
Sababu ya Mabeyo kuteuliwa na Rais Samia
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Mkuu wa Majeshi Mstaafu, Jenerali Venance Mabeyo kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Hifadhi ya Eneo la Ngoron [...]
Mapacha watenganishwa salama
Hospitali ya Taifa ya Muhimbili imetoa taarifa kuhusu upasuaji wa mapacha walioungana ambao leo Julai 1,2022 wamefanyiwa upasuaji wakuwatenganisha na [...]
M/Kiti kamati ya harusi ya Billnas na Nandy
Msanii kutoka nchini Tanzania, Billnas anayetarajia kufungua ndoa na Faustina Mfinanga maarufu kama Nandy, ameweka wazi kwamba muigizaji Steve Nyerere [...]

