Tag: nafasi za kazi

1 47 48 49 50 51 81 490 / 804 POSTS
Zanzibar ndani ya Ligi Kuu ya Uingereza

Zanzibar ndani ya Ligi Kuu ya Uingereza

Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi akutana na kufanya mazungumzo na timu ya Masoko ya Klabu ya Southampton ya Ligi Kuu ya Uingereza. Wamefanya [...]
Ushuru Daraja la Tanzanite

Ushuru Daraja la Tanzanite

Serikali imesema magari yataanza kulipia fedha yanapopita kwenye Draja la Tanzanite na katika barabara nyingine mbili za haraka za Kibaha-Mlandizi - C [...]
Amuua mkewe kwa kumlima na jembe kichwani

Amuua mkewe kwa kumlima na jembe kichwani

Mtu mmoja anayefahamika kwa jina la God Sawe anatafutwa kwa kosa la kumuua mke wake Ester juzi saa 12.30 jioni kwa kumlima na jembe kichwa kisha kukim [...]
Magazeti ye leo Juni 15,2022

Magazeti ye leo Juni 15,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatano Juni 15,2022. [...]
Waishio milimani kuondolewa, kupisha uwekezaji

Waishio milimani kuondolewa, kupisha uwekezaji

Wakazi wa jiji la Mwanza waliojenga maeneo ya milimani wanatarajiwa kuondolewa ili kupisha wawekezaji kutoka nchini Brazil. Meya wa Jiji la Mwanza, [...]
Askari auawa kwa mshale Ngorongoro

Askari auawa kwa mshale Ngorongoro

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe.John Mongella amewataka wananchi Wa Tarafa ya Loliondo wilaya ya Ngorongoro Kuwa watulivu na kusikiliza maelekezo ya serika [...]
Rais Samia aliwaza mbali nyongeza ya mishahara

Rais Samia aliwaza mbali nyongeza ya mishahara

Mei 14,2022 , Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan alitimiza ahadi yake ya kuongeza mishahara kwa kutangaza kima cha chin [...]
Sabaya ashinda kesi

Sabaya ashinda kesi

Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imemuachia huru aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya na wenzake sita katika kesi ya uhujumu uchumi namba [...]
Amuua mume wake kwa kumkaba usingizini

Amuua mume wake kwa kumkaba usingizini

Mwanamke mmoja anayefahamika kwa jina la Maria Matheo, anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Tabora kwa tuhuma za kumuua mume wake, Gabriel Nguwa (80 [...]
Aponzwa na biashara ya vidole

Aponzwa na biashara ya vidole

Mahakama nchini Zimbabwe imemfungulia mashtaka mtu mmoja kwa kufanya mzaha kuwa alikuwa sehemu ya kundi la watu wanaonunua vidole vya miguu vya binada [...]
1 47 48 49 50 51 81 490 / 804 POSTS
error: Content is protected !!