Tag: nafasi za kazi
Magazeti ya leo Juni 1,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatano Juni 1,2022.
[...]
Pablo atemwa na Simba
Klabu ya Simba imefikia makubaliano ya pande zote mbili ya kuvunja mkataba na Kocha Mkuu wa timu hiyo Pablo Franco Martin.
Katika kipindi chake koc [...]
Sabaya bado sana
Hukumu ya Kesi ya Uhujumu Uchumi inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya pamoja na wenzake imeahirishwa hadi Juni 10, 2022,hii [...]
Rais Samia apongezwa na kaya masikini
Wananchi mkoani Lindi jimbo la Mchinga wamemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan na serikali ya awamu ya sita kwa ujumla jinsi anavyoonesha kwa vitendo ku [...]
Tahadhari juu ya bei ya sukari duniani
Bei ya sukari inatarajiwa kupanda kutokana na vikwazo vya kuuza nje na mataifa kadhaa muhimu yanayozalisha bidhaa zinazotaka kudhibiti kupanda kwa bei [...]
Watu 31 Wafariki wakigombea chakula
Takriban watu 31 wamefariki wakati mkanyagano ulipozuka kusini mwa Nigeria wakati wa hafla ya kutoa misaada ya kanisa ambapo chakula kilikuwa kikigawa [...]
Anayesadikiwa kuua wanae azimia
Baba wa watoto watatu wa Shule ya Msingi Ratanda na Shule ya Sekondari ya Khanya Lesedi waliofariki dunia baada ya kupewa 'energy dink' (kinywaji cha [...]
Mjamzito atolewa figo kwa siri
Nchi Uganda, Polisi wanachunguza tukio la madaktari kutoa figo kwa siri ya mjamzito Peragiya Muragijemana (20) mkazi wa Kijiji cha Lwemiggo, wilayani [...]
Nchi za Afrika zenye monkeypox
Morocco na Sudan zinachunguza visa vinavyoshukiwa vya ugonjwa wa monkeypox, imesema taasisi hiyo ya afya barani.
Hii inakuja baada ya milipuko ya v [...]
Serikali yaongeza posho za safari
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameendelea kuupiga mwingi kwa kutoa kibali cha kurekebisha posho ya kujikimu ya safar [...]