Tag: nafasi za kazi
Rais Samia: tuwaenzi waasisi wetu kwa vitendo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa watanzania wote kuenzi kwa vitendo muungano ulioanzishwa na waa [...]
Serikali yatoa zaidi ya shilingi milioni 200 kwa ajili ya huduma za afya kwa waathirika wa mafuriko
Serikali kupitia Wizara ya Afya imetoa dawa na vifaa tiba vyenye thamani ya Shilingi 216, 715, 516 kwa ajili ya kuhudumia wahanga wa mafuriko waliokus [...]
Rais Samia : Wakuu wa Mikoa ni marais katika maeneo yenu
Rais Samia Suluhu Hassan amewataka wakuu wa mikoa nchini kutatua changamoto za wananchi, ikiwemo migogoro ya ardhi pamoja na kuongeza ukusanyaji wa ma [...]
Eng. Hersi : Rais Samia anamchango mkubwa kwenye soka letu
Rais wa Timu ya mpira wa miguu ya Yanga SC , Eng. Hersi Said amesema mafanikio katika sekta ya michezo hasa mpira wa kiguu nchini yametokana na mchang [...]
Rekodi yavunjwa ongezeko la watalii wa kigeni
Mapato yanayotokana na utalii yamezidi kuongezeka kutoka Dola za Kimarekani bilioni 1.3 mwaka 2021 hadi kuvunja rekodi na kufikia Dola za Kimarekani b [...]
Rais Samia awapongeza Ramadhan Brothers
Rais Samia Suluhu Hassan amewapongeza vijana wa kitanzania wanaofahamika kwa jina maarufu la Ramadhan Brothers kwa kushinda shindano la ‘America Got T [...]
Tanzania na Norway kuimarisha ushirikiano katika sekta ya kilimo
Tanzania na Norway zimesaini Mkataba na Hati mbili za makubalino ya kuimarisha ushirikiano katika sekta ya kilimo.
Mkataba na Hati hizo zimesainiwa [...]
Rais Samia Suluhu na Papa Francis kuendeleza uhusiano wa Tanzania na Vatican
Rais Samia Suluhu amekutana na Papa Francis leo Februari 12,2024 San Damaso mjini Vatican na kufanya mazunguko ya faragha.
Pia Rais Samia alikutana [...]
Viongozi watano walioambatana nao Rais Samia Vatican
Rais Samia Suluhu Hassan ameambata na viongozi watano wa vyama vya kitume vya Kanisa Katoliki Tanzania kwenda kumwona Kiongozi wa Kanisa hilo duniani, [...]
Dkt. Mpango aeleza sababu ya kifo cha Lowassa
Makamu wa Rais wa Tanzania Dkt. Philip Mpango ametangaza kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Edward Lowassa kilichotokea leo tarehe 10 Februar [...]