Tag: nafasi za kazi
Tazama hapa video zinazo-trend Youtube Februari 3,2022
Hizo hapa video zinazofanya vizuri katika mtandao wa Youtube Tanzania. Husikubali kupitwa;
https://www.youtube.com/watch?v=PkXxm2tCtgs&list=PLq [...]
Vipaumbele vya Zuhura Yunus baada ya uteuzi
Aliyewahi kuwa mtangazaji wa Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC), Zuhura Yunus ambaye ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu ame [...]
Ijue safari ya mahusiano ya Rihanna
Hatimaye Rihanna amepata mwenza ambaye anamfanya ajione kama msichana pekee kwenye dunia hii kama asemavyo katika wimbo wake wa ‘Only girl in the wor [...]
Mtoto auawa na kutolewa sehemu za siri
Mwanafunzi wa darasa la nne katika Shule ya Msingi Tutuo, wilayani Sokonge , Mkoa wa Tabora, Maria Ngassa(13) ameuawa kikatili wakati akienda kisimani [...]
Ahueni kushuka kwa bei ya petroli na mafuta ya taa
Mamlaka ya Udhibiti wa huduma za Nishati na Maji nchini (EWURA), imetangaza kushuka kwa bei ya petroli na mafuta ya taa huku bei ya dizeli ikiongezeka [...]
Jeshi la Polisi latoa ufafanuzi kujinyonga kwa askari mahabusu
Baada ya kuwepo kwa maneno ya sintofahamu kuhusu tukio la kujinyonga hadi kufa kwa Msaidizi Mkaguzi wa Jeshi la Polisi Grayson Mahembe, Jeshi hilo la [...]
Lindi washukuru fedha za tozo kwa kuboresha sekta ya Afya
Wakazi wa kata ya Mvuleni, manispaa ya Lindi wameeleza watakavyonufaika na uwepo wa kituo cha afya cha kisasa kilichojengwa kutokana fedha za tozo za [...]
Mpoto afunguka kuhusu ugawaji wa Mirabaha kwa wasanii
Baada ya tukio la Uzinduzi wa Tuzo za Muziki Tanzania 2022 na ugawaji wa pesa za mirabaha zinazotokana na kazi za Wasanii zinazotumika kwenye maeneo m [...]
Amteka nyara mtoto wake, amuua kisha kujinyoga.
Mwanaume mmoja jijini Nairobi aliyetambulika kwa jina la Victor Aiyeko anasemekana kumteka nyara mtoto wake mwenye umri wa miaka 3, kumuua na kisha ku [...]
‘In my Maserati’ yamlambisha dili nono Olakira
Mwimbaji anayekuja kwa kasi kutoka nchini Nigeria, Olakira, ameanza mwaka kwa njia nzuri kwa kusaini mkataba na kampuni ya magari ya kifahari, Masera [...]