Tag: trending videos

1 37 38 39 40 41 123 390 / 1230 POSTS
Watanzania 33,000 hufariki kila mwaka sababu ya moshi wa kupikia

Watanzania 33,000 hufariki kila mwaka sababu ya moshi wa kupikia

Wastani wa Watanzania 33,000 hufariki kila mwaka, kutokana na moshi wa kupikia. Waziri wa Nishati January Makamba alisema hayo jana jijini Dodoma, [...]
Rais Samia : Watanzania wekezeni Msumbiji

Rais Samia : Watanzania wekezeni Msumbiji

Rais Samia Suluhu amewataka Watanzania wanaoishi na kufanya biashara nchini Msumbiji kutumia fursa ya ushirikiano wa nchi hizo mbili kuwekeza kwa faid [...]
Tanzania kuchangia bilioni 2.3 Global Fund

Tanzania kuchangia bilioni 2.3 Global Fund

Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango a,etoa mwito kwa mataifa duniani kuungana katika kutoa mchango kwa Mfuko wa Kimataifa wa Kupambana na Ukimwi, Kifua K [...]
Wabunge wapya wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki

Wabunge wapya wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki

Hatimaye mara baada ya kusubiri kwa muda mrefu wabunge tisa watakaoiwakilisha Tanzania katika Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (Eala)  wamepatikan [...]
Morrison alimwa faini

Morrison alimwa faini

Winga wa Yanga, Bernard Morrison amelimwa faini ya Sh1 milioni kwa kosa la kumkanyaga kwa makusudi mchezaji wa Azam FC, Lusajo Mwaikenda ambaye alikuw [...]
Namba za simu za Wakuu wa Polisi Wilaya (OCDs)

Namba za simu za Wakuu wa Polisi Wilaya (OCDs)

Kama Mtanzania ni vyema ukawa na namba za simu hizi za wakuu wa polisi wilaya (OCDs) ili uweze kupata huduma sahihi kwa haraka. OCD CHAMWINO 65988 [...]
Tanzania yang’ara kuwa na usalama wa mtandao

Tanzania yang’ara kuwa na usalama wa mtandao

Tanzania imetajwa kuwa nchi ya pili katika kielezo cha usalama wa mtandao (GCI) kwa mawaka 2020, wka mujibu wa Shirika la Mawasiliano la Kimataifa (IT [...]
Tanzania na Msumbiji mambo safi

Tanzania na Msumbiji mambo safi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, pamoja na Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mhe. Filipe Jacinto Nyusi wameshuhudia utiaj [...]
Zungu awashangaa wanaolalamika tozo za miamala ya simu

Zungu awashangaa wanaolalamika tozo za miamala ya simu

Naibu Spika Mussa Azzan Zungu amewashangaa baadhi ya wananchi wanaolalamikia tozo za miamala ya simu na benki na kuachwa kuzungumzia fedha wanazokatwa [...]
Ashtakiwa kwa kununua Premio badala ya tani 60 za mahindi

Ashtakiwa kwa kununua Premio badala ya tani 60 za mahindi

Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa limemkamata Castory Mapunda (42) anayetuhumiwa kutumia sehemu ya Sh milioni 41 alizopewa kwa ajili ya kununua mahindi t [...]
1 37 38 39 40 41 123 390 / 1230 POSTS
error: Content is protected !!