Author: William Dennis

1 7 8 9 10 90 / 98 POSTS
Mzazi amuuza mtoto wake kwa shilingi laki moja

Mzazi amuuza mtoto wake kwa shilingi laki moja

Septemba 7 mwaka huu, Jeshi la Polisi mkoani Mbeya lilitangaza kuwashikilia watu wawili kwa tuhuma ya kufanya biashara ya watoto. Watu hao, Daniel Jul [...]
Taarifa ya serikali kuhusu ajira 10,000 za walimu

Taarifa ya serikali kuhusu ajira 10,000 za walimu

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Ummy Mwalimu amesema wizara hiyo inasubiria kupata kibali cha kuajiri wa [...]
Serikali kujenga shule za wasichana 26, na za kata 1,000

Serikali kujenga shule za wasichana 26, na za kata 1,000

Serikali imepanga kuanza kutekeleza mpango wa ujenzi wa shule za sekondari za wasichana kila mkoa na nyingine 1,000 kwenye kata zisizokuwa na sekondar [...]
Jamhuri yasema uchunguzi kesi ya Rugemalira haujakamilika

Jamhuri yasema uchunguzi kesi ya Rugemalira haujakamilika

Kesi  ya uhujumu uchumi inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi wa VIP na mmiliki mwenza wa zamani wa kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania L [...]
Serikali kuendelea kuwapima wanafunzi mimba

Serikali kuendelea kuwapima wanafunzi mimba

Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Omari Kipanga amesema utaratibu wa kuwapima mimba wanafunzi wanapotoka likizo unaendelea katika shule mb [...]
Serikali kubadili umri wa mtoto wa kike kuolewa

Serikali kubadili umri wa mtoto wa kike kuolewa

Serikali inakusudia kufanya mabadiliko ya Sheria ya Ndoa ya Tanzania ambayo kwa muda mrefu sasa imekuwa moja sheria ambazo zinakumbana na upinzani mar [...]
Manara; Nilisema uongo, niko tayari kwenda gerezani

Manara; Nilisema uongo, niko tayari kwenda gerezani

Msemaji wa timu ya soka ya Yanga, Haji Sunday Manara amesema yeye hakuwahi kuwa (shabiki) wa Simba. Amesema amekuwa Yanga katika maisha yake yote. [...]
Machifu; Rais Samia ni ‘nyota ang’avu’.

Machifu; Rais Samia ni ‘nyota ang’avu’.

Leo Rais Samia Suluhu, alikuwa jijini Mwanza akihitimisha tamasha la utamaduni. Moja kati ya mambo makubwa yaliyofanyika katika tamasha hilo, ni umoja [...]
Mastaa wa kike wenye ‘followers’ wengi Instagram

Mastaa wa kike wenye ‘followers’ wengi Instagram

Orodha hii inahusisha mastaa wa kike ambao ni Watanzania tu, kwa kuangalia 'followers' (wafuasi) wao kwenye mtandao wa 'instagram' hadi kufikia Septem [...]
Mfahamu Rais aliyepinduliwa Guinea

Mfahamu Rais aliyepinduliwa Guinea

Kwenye uchaguzi wa Guinea mwaka 2010, Alpha Conde alikuwa mpinzani mkuu kwa Serikali iliyokuwa ikimaliza muda wake. Alipendwa na wanaharakati wa masua [...]
1 7 8 9 10 90 / 98 POSTS
error: Content is protected !!