Author: Cynthia Chacha

1 99 100 101 102 103 268 1010 / 2676 POSTS
Ofa ya Rais Samia yapaisha mapato Wizara ya Ardhi

Ofa ya Rais Samia yapaisha mapato Wizara ya Ardhi

Mapato ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi yameongezeka mara mbili kutokana na ofa iliyotolewa na Rais Samia Suluhu kwa wananchi ya kuli [...]
Magazeti ya leo Desemba 7,2022

Magazeti ya leo Desemba 7,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatano Desemba 7,2022. [...]
Ajira Jeshi la Polisi

Ajira Jeshi la Polisi

Jeshi la Polisi Tanzania linapenda kuwajulisha kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) Camillus Wambura, tarehe 05.12.2022 ametoa tangazo la ajira kwa vija [...]
Magazeti ya leo Desemba 6,2022

Magazeti ya leo Desemba 6,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumanne Desemba 6,2022. [...]
Fahamu taratibu za uuzaji wa bidhaa za uvuvi China

Fahamu taratibu za uuzaji wa bidhaa za uvuvi China

China ni miongoni mwa masoko makubwa ulimwenguni yanayonunua bidhaa za uvuvi. Mkataba uliosainiwa wakati wa Ziara ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan nch [...]
Wafariki wakidaka kumbikumbi

Wafariki wakidaka kumbikumbi

Watu wawili akiwamo mjamzito, wamefariki dunia na wengine wawili kujeruhiwa katika Kata ya Mhembe wilayani Kigoma baada ya kugongwa na pikipiki wakati [...]
Magazeti ya leo Desemba 5,2022

Magazeti ya leo Desemba 5,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatatu Desemba 5,2022. [...]
Rais Samia ataja kanuni za kuwa kiongozi bora

Rais Samia ataja kanuni za kuwa kiongozi bora

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa ushauri kwa viongozi wa wanawake Afrika akitaja sifa ni kuwa msikivu, mw [...]
Viwango vipya vya mishahara kwa sekta binafsi

Viwango vipya vya mishahara kwa sekta binafsi

Baada ya miaka tisa bila kupandishwa, Serikali ya Awamu ya Sita imetangaza viwango vipya vya mishahara kwa wafanyakazi wa sekta binafsi. Hata hivyo [...]
11 kunyongwa mauaji ya mpinga ujangili

11 kunyongwa mauaji ya mpinga ujangili

Mahakama Kuu kanda ya Dar es Salaam imewahukumu adhabu ya kunyongwa hadi kufa watu 11 waliokutwa na hatia ya kumuua mwanaharakati wa ujangili, raia wa [...]
1 99 100 101 102 103 268 1010 / 2676 POSTS
error: Content is protected !!