Author: Cynthia Chacha

1 103 104 105 106 107 245 1050 / 2443 POSTS
Ahadi ya Makamba yatimia Kigoma

Ahadi ya Makamba yatimia Kigoma

Itakumbukwa wakati akiwasilisha Bungeni hotuba ya bajeti ya Wizara ya Nishati Juni 2,mwaka 2022, Waziri wa Nishati, January Makamba alikitaja kipaumbe [...]
Ashikiliwa kwa kumuua mkewe baada ya kumuota mchawi

Ashikiliwa kwa kumuua mkewe baada ya kumuota mchawi

Jeshi la Polisi mkoani Tabora linamshikilia mkazi wa Kijiji cha Inala, Ali Mkonongo kwa tuhuma za kumuua mke wake, Mariam Yusuph kwa kumpiga na kitu k [...]
Namba za simu za Wakuu wa Polisi Wilaya (OCDs)

Namba za simu za Wakuu wa Polisi Wilaya (OCDs)

Kama Mtanzania ni vyema ukawa na namba za simu hizi za wakuu wa polisi wilaya (OCDs) ili uweze kupata huduma sahihi kwa haraka. OCD CHAMWINO 65988 [...]
Tanzania yang’ara kuwa na usalama wa mtandao

Tanzania yang’ara kuwa na usalama wa mtandao

Tanzania imetajwa kuwa nchi ya pili katika kielezo cha usalama wa mtandao (GCI) kwa mawaka 2020, wka mujibu wa Shirika la Mawasiliano la Kimataifa (IT [...]
Magazeti ya leo Septemba 22,2022

Magazeti ya leo Septemba 22,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Alhamisi Septemba 22,2022. [...]
Tanzania na Msumbiji mambo safi

Tanzania na Msumbiji mambo safi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, pamoja na Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mhe. Filipe Jacinto Nyusi wameshuhudia utiaj [...]
Zungu awashangaa wanaolalamika tozo za miamala ya simu

Zungu awashangaa wanaolalamika tozo za miamala ya simu

Naibu Spika Mussa Azzan Zungu amewashangaa baadhi ya wananchi wanaolalamikia tozo za miamala ya simu na benki na kuachwa kuzungumzia fedha wanazokatwa [...]
Ashtakiwa kwa kununua Premio badala ya tani 60 za mahindi

Ashtakiwa kwa kununua Premio badala ya tani 60 za mahindi

Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa limemkamata Castory Mapunda (42) anayetuhumiwa kutumia sehemu ya Sh milioni 41 alizopewa kwa ajili ya kununua mahindi t [...]
Magazeti ya leo Septemba 21,2022

Magazeti ya leo Septemba 21,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya leo Tanzania Jumatano Septemba 21,2022. [...]
Hizi ndio tozo zilizofutwa na serikali

Hizi ndio tozo zilizofutwa na serikali

Waziri wa Fedha na Mipango, Mheshimiwa Dkt. Mwigulu Nchemba amesema baada ya kupitia upya tozo za miamala ya fedha serikali imeamua kupunguza na kufut [...]
1 103 104 105 106 107 245 1050 / 2443 POSTS
error: Content is protected !!