Author: Cynthia Chacha
Magazeti ya leo Oktoba 20,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Alhamisi Oktoba 20,2022.
[...]
Wamshukuru Rais Samia kwa kufanyiwa upasuaji
Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, imefanya upasuaji rekebishi kwa mama Helena Hungoli na mtoto wake Safari Bidale wakazi wa mkoa wa Manyara ambao walim [...]
Wapata majisafi baada ya miaka 50
Wananchi wa kijiji cha Namatumu Kata ya Malika Halmashauri ya Mji Masasi mkoani Mtwara, wamesema Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA [...]
Rais Samia awapongeza Ramadhan Brother’s
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Mhe. Samia Suluhu Hassan amewapongeza vijana wa Kitanzania Ibrahim (36) na Fadhil Ramadhan (26) wanaounda ku [...]
Rais Samia kuifanya Kigoma kuwa kituo cha utalii wa tiba
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Mkoa wa Kigoma utakuwa kituo cha utalii wa tiba na ametoa shiingi bilioni tano za kuanza ujenzi wa hospitali ya kanda [...]
Magazeti ya leo Oktoba 19,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatano Oktoba 19,2022.
[...]
Zitto Kabwe ampongeza Rais Samia kwa kufanya kazi nzuri
Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe amempa pongezi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kazi nzuri anayoifanya kwa kuwaungan [...]
Rais Samia anavyoifungua Kigoma kwa kuboresha Bandari ya Kibirizi
Dhamira ya kuurudisha Mkoa wa Kigoma kuwa kitovu cha biashara inaendelea kufanikishwa na Rais Samia Suluhu Hassan baada ya kuweka jiwe la Msingi la Up [...]
TANESCO Pwani yavuka lengo
Shirika la Umeme (TANESCO) Mkoa wa Pwani limeunganishwa wateja 43,000 na kuvuka lengo la kuunganishia wateja 20,000 kipindi cha mwaka 2022.
Akizung [...]
Rais Samia aiwasha Kigoma
Rais Samia Suluhu Hassani jana Oktoba 17,2022 amezima umeme uliokuwa unatumia jenereta na kuwasha umeme wa gridi ya Taifa na kuwataka wananchi kutunz [...]