Author: Cynthia Chacha

1 108 109 110 111 112 274 1100 / 2733 POSTS
Magazeti ya leo Novemba 26,2022

Magazeti ya leo Novemba 26,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumamosi Novemba 26,2022. [...]
Jenerali Mabeyo asimikwa kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu Iringa

Jenerali Mabeyo asimikwa kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu Iringa

Mkuu wa Majeshi mstaafu, Jenerali Venance Salvatory Mabeyo amesimikwa rasmi kuwa Mkuu Mpya wa Chuo Kikuu cha Iringa akichukua nafasi ya Askofu Mstaafu [...]
Oman kuitangaza Tanzania

Oman kuitangaza Tanzania

Tanzania na Oman zimeweka mikakati ya ushirikiano katika sekta ya maasiliano, habari na teknolojia. Mikakati hiyo iliwekwa juzi wakati Waziri wa Ha [...]
Fidia kulipwa kwa wakazi wa Bonde la Msimbazi

Fidia kulipwa kwa wakazi wa Bonde la Msimbazi

Zaidi ya wananchi 11,000 wanatarajiwa kulipwa fidia Januari mwakani kupisha ujenzi wa daraja la juu la kisasa la Jangwani na uendelezaji wa Bonde la M [...]
Magazeti ya leo Novemba 25,2022

Magazeti ya leo Novemba 25,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Ijumaa Novemba 25,2022. [...]
Rais Samia ampa miezi mitatu Waziri Aweso

Rais Samia ampa miezi mitatu Waziri Aweso

Rais Samia Suluhu Hassan ametoa miezi mitatu kwa Waziri wa Maji, Jumaa Aweso akamilishe mradi wa maji unojengwa kwa Sh bilioni 1.7 wilayani Monduli. [...]
Diamond amaliza yote kwa Zuchu

Diamond amaliza yote kwa Zuchu

Kupitia kwenye ukurasa wa instagrama wa msanii Diamond Platnumz ambaye ni CEO wa lebo ya muziki ya Wasafi WCB, ameandika ujumbe kumtakia heria ya siku [...]
Bei elekezi vifurushi vya simu

Bei elekezi vifurushi vya simu

Serikali imeagiza watoa huduma za mawasiliano ya simu za mkononi wasibadili bei ya vifurushi vya simu hadi serikali itapotoa bei elekezi Januari mwaka [...]
Magazeti ya leo Novemba 24,2022

Magazeti ya leo Novemba 24,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Alhamisi Novemba 24,2022. [...]
Utendaji kazi wa Rais Samia wamkosha Sumaye

Utendaji kazi wa Rais Samia wamkosha Sumaye

Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amesema Rais Samia Suluhu Hassan, anafanya mambo makubwa kwa taifa na faida yake itaonekana miaka ya hivi karib [...]
1 108 109 110 111 112 274 1100 / 2733 POSTS
error: Content is protected !!