Author: Cynthia Chacha
Rais Samia : Watanzania wekezeni Msumbiji
Rais Samia Suluhu amewataka Watanzania wanaoishi na kufanya biashara nchini Msumbiji kutumia fursa ya ushirikiano wa nchi hizo mbili kuwekeza kwa faid [...]
Tanzania kuchangia bilioni 2.3 Global Fund
Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango a,etoa mwito kwa mataifa duniani kuungana katika kutoa mchango kwa Mfuko wa Kimataifa wa Kupambana na Ukimwi, Kifua K [...]
Wabunge wapya wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki
Hatimaye mara baada ya kusubiri kwa muda mrefu wabunge tisa watakaoiwakilisha Tanzania katika Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (Eala) wamepatikan [...]
Magazeti ya leo Septemba 23,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Ijumaa Septemba 23,2022.
[...]
Morrison alimwa faini
Winga wa Yanga, Bernard Morrison amelimwa faini ya Sh1 milioni kwa kosa la kumkanyaga kwa makusudi mchezaji wa Azam FC, Lusajo Mwaikenda ambaye alikuw [...]
Wizara yalaani watalii wakiume kuvishana pete Zanzibar
Wizara ya Utalii na Mambo ya Kale kupitia Kamisheni ya Utalii ya Zanzibar imelaani kitendo cha Watalii wawili wa jinsi moja (wanaume) kuvalishana pete [...]
Ahadi ya Makamba yatimia Kigoma
Itakumbukwa wakati akiwasilisha Bungeni hotuba ya bajeti ya Wizara ya Nishati Juni 2,mwaka 2022, Waziri wa Nishati, January Makamba alikitaja kipaumbe [...]
Ashikiliwa kwa kumuua mkewe baada ya kumuota mchawi
Jeshi la Polisi mkoani Tabora linamshikilia mkazi wa Kijiji cha Inala, Ali Mkonongo kwa tuhuma za kumuua mke wake, Mariam Yusuph kwa kumpiga na kitu k [...]
Namba za simu za Wakuu wa Polisi Wilaya (OCDs)
Kama Mtanzania ni vyema ukawa na namba za simu hizi za wakuu wa polisi wilaya (OCDs) ili uweze kupata huduma sahihi kwa haraka.
OCD CHAMWINO
65988 [...]
Tanzania yang’ara kuwa na usalama wa mtandao
Tanzania imetajwa kuwa nchi ya pili katika kielezo cha usalama wa mtandao (GCI) kwa mawaka 2020, wka mujibu wa Shirika la Mawasiliano la Kimataifa (IT [...]