Author: Cynthia Chacha

1 125 126 127 128 129 259 1270 / 2588 POSTS
Maendeleo ujenzi Daraja la JPM yamridhisha Kinana

Maendeleo ujenzi Daraja la JPM yamridhisha Kinana

Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimeridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa Daraja la Magufuli lililopo maeneo ya Kigongo Busisi mkoani Mwanza Daraja hilo l [...]
Mahakama yabariki ushindi wa Ruto

Mahakama yabariki ushindi wa Ruto

Mahakama ya Juu ya Kenya leo imepitisha kwa kauli moja kuchaguliwa kwa Rais mteule William Ruto katika kura ya urais ya mwezi uliopita baada ya kutupi [...]
Walioolewa na wenye watoto ruksa kushiriki Miss Universe

Walioolewa na wenye watoto ruksa kushiriki Miss Universe

Huenda mashindano ya ulimbwende yanayofanyika katika maeneo mbalimbali duniani yakachua sura mpya na kufungua fursa zaidi kwa wanawake kufaidika na ta [...]
Magazeti ya leo Septemba 5,2022

Magazeti ya leo Septemba 5,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatatu Septemba 5,2022. [...]
Mikoa inayoongoza kwa matumizi ya simu Tanzania

Mikoa inayoongoza kwa matumizi ya simu Tanzania

Kama ulikuwa hujui mikoa inayoongoza kwa watumiaji wengi wa simu za mkononi, basi Dar es Salaam inashika namba moja katika orodha ya mikoa 10 yenye wa [...]
Sababu za MV. Magogoni kukwama

Sababu za MV. Magogoni kukwama

Taarifa kutoka kwa Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) imeeleza sababu ya kivuko cha MV Magogoni kukwamba na namna walivyokinasua. [...]
Mkurugenzi Mkuu ZAECA ajiuzulu

Mkurugenzi Mkuu ZAECA ajiuzulu

Siku tano baada ya Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi kuitaka Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi (Zaeca) kujitathmini, Mkurugenzi Mkuu wa [...]
Mikakati ya kuinusuru NHIF

Mikakati ya kuinusuru NHIF

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema Serikali itachukua hatua mbalimbali ikiwemo kutibu mapema magonjwa yasiyoambukiza ili kuunusuru Mfuko wa Taifa wa [...]
Magazeti ya leo Septemba 2,2022

Magazeti ya leo Septemba 2,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Ijumaa Septemba 2,2022. [...]
Ufafanuzi kuhusu tozo

Ufafanuzi kuhusu tozo

Hatimaye baada ya kuwepo kwa malalamiko ya wananchi kuhusiana na tozo za miamala ya simu zilizoanza kutozwa na Serikali Julai Mosi mwaka huu, Serikali [...]
1 125 126 127 128 129 259 1270 / 2588 POSTS
error: Content is protected !!