Author: Cynthia Chacha

1 139 140 141 142 143 241 1410 / 2406 POSTS
TCU yafungua dirisha la udahili vyuo vikuu

TCU yafungua dirisha la udahili vyuo vikuu

Tume ya vyuo vikuu nchini (TCU) imefungua dirisha la udahili kwa masomo ya shahada ya kwanza mwaka wa masomo 2022/2023, kuanzia jana Julai 8 hadi Agos [...]
Magazeti ya leo Julai 9,2022

Magazeti ya leo Julai 9,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumamosi Julai 9,2022. [...]
Rais Samia atoa pole kwa Wajapani

Rais Samia atoa pole kwa Wajapani

Rais Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za rambirambi kwa Serikali ya Japan kufuatia kifo cha aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Shinzo Abe.  A [...]
Reli katikati ya maji kujengwa Tanzania

Reli katikati ya maji kujengwa Tanzania

Shirika la Reli Tanzania (TRC) linafanya utafiti wa kuwa na reli katikati ya maji likiwamo la Mwanza, Arusha, Mbeya na Dodoma na kuziunganisha na viwa [...]
Kanisa latoa vyeti vya ubikra

Kanisa latoa vyeti vya ubikra

Kanisa moja nchini Afrika Kusini linafanya vipimo vya ubikira kwa waumini wa kike wa kanisa hilo wenye umri wa miaka 18 na kuendelea. Inaripotiwa k [...]
Nafasi za kazi

Nafasi za kazi

Nafasi za kazi mbalimbali. Bonyeza link zifuatazo 221 New FORM FOUR and Above Government Job Vacancies UTUMISHI at UDOM – Various Posts Claims A [...]
Rais wa zamani wa Angola afariki dunia

Rais wa zamani wa Angola afariki dunia

Rais wa zamani wa Angola Jose Eduardo dos Santos, ambaye alitawala nchi ya pili kwa uzalishaji mafuta barani Afrika kwa takriban miongo minne, amefari [...]
Mahakama yakubali ombi la kina Mdee

Mahakama yakubali ombi la kina Mdee

Mbunge wa Viti Maalumu, Halima Mdee na wenzake 18 wamekibwaga Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) baada ya Mahakama Kuu Masijala Kuu kukubali [...]
Tanzania yapongezwa mikakati muziri ya uchanjaji

Tanzania yapongezwa mikakati muziri ya uchanjaji

Mratibu wa Kimataifa wa Mapambano dhidi ya UVIKO-19 kutoka umoja wa Mataifa Dkt Ted Chaiban ameipongeza Tanzania kwa kuendeleza mapambano dhidi ya UVI [...]
Mafuta ya kula yashuka bei

Mafuta ya kula yashuka bei

Waswahili wanasema baada ya dhiki faraja, hivyo ndivyo tunavyoweza kusema baada ya bei ya mafuta kuanza kushuka kwenye baadhi ya maeneo nchini. Bei [...]
1 139 140 141 142 143 241 1410 / 2406 POSTS
error: Content is protected !!