Author: Cynthia Chacha

1 142 143 144 145 146 256 1440 / 2559 POSTS
Walioathiriwa na ajali ya basi Mtwara kulipwa fidia

Walioathiriwa na ajali ya basi Mtwara kulipwa fidia

Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) imeiagiza kampuni ya bima ya Reliance ihakikishe waathirika wote wa ajali iliyoua watu 13 wakiwemo watoto [...]
Rais Samia apangua wakuu wa mikoa

Rais Samia apangua wakuu wa mikoa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Wakuu wa Mikoa Wapya 09, kuwahamisha vituo vya kazi Wakuu wa Miko [...]
Magazeti ya leo Julai 28,2022

Magazeti ya leo Julai 28,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Alhamisi Julai 28,2022. [...]
Yanga yasaini mkataba wa bil.12 na Sportpesa

Yanga yasaini mkataba wa bil.12 na Sportpesa

KLABU ya Yanga ya Dar es Salaam, leo imesaini mkataba mpya wa udhamini na Kampuni ya Sportpesa, wenye thamani ya Sh Bil. 12.335 kwa kipindi cha miaka [...]
Mkongo wapigwa marufuku

Mkongo wapigwa marufuku

Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala Tanzania, limepiga marufuku matumizi kwa binadamu dawa aina ya Hensha maarufu Mkongo, inayomilikiwa na kituo cha [...]
Marufuku kuhubiri ndani ya mabasi

Marufuku kuhubiri ndani ya mabasi

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafi Ardhini (LATRA), Habibu Suluo amesema kwa mujibu wa kanuni ni marufuku kwa Wafanyabiashara na wanaohub [...]
Waliorusha picha za ajali Mtwara wasakwa

Waliorusha picha za ajali Mtwara wasakwa

Mkuu wa mkoa wa Mtwara, Brigedia Jenerali Marco Gaguti amewataka mara moja wale wote waliosambaza picha za miili ya watoto wa shule ya msingi King Dav [...]
Magazeti ya leo Julai 27,2022

Magazeti ya leo Julai 27,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatano Julai 27,2022. [...]
Ufafanuzi wa 23.3% kwenye mshahara

Ufafanuzi wa 23.3% kwenye mshahara

Msemaji Mkuu wa Serikali, Msigwa Gerson amesema leo Serikali imekutana na viongozi wa TUCTA kwa ajili ya kuwasikiliza, baada ya mazungumzo ya awali vi [...]
Rais Samia afanya uteuzi

Rais Samia afanya uteuzi

Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Balozi Caroline Kitana Chipeta kuwa Balozi wa Tanzania, The Hague nchini [...]
1 142 143 144 145 146 256 1440 / 2559 POSTS
error: Content is protected !!