Author: Cynthia Chacha
Bi Hindu afariki dunia
Muigizaji na mtangazaji Chuma Selemani maarufu zaidi kama Bi Hindu amefariki Dunia asubuhi ya leo.
Taarifa hii imethibitishwa na Mjukuu wake aliyes [...]
Kizz Daniel azomewa Marekani
Mwanamuziki kutoka Nigeria, Kizz Daniel amejikuta akizomewa na mashabiki zake nchini Marekani baada ya kuchelewa kwenye tamasha kwa takribani masaa ma [...]
TCU yafungua dirisha la udahili vyuo vikuu
Tume ya vyuo vikuu nchini (TCU) imefungua dirisha la udahili kwa masomo ya shahada ya kwanza mwaka wa masomo 2022/2023, kuanzia jana Julai 8 hadi Agos [...]
Magazeti ya leo Julai 9,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumamosi Julai 9,2022.
[...]
Rais Samia atoa pole kwa Wajapani
Rais Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za rambirambi kwa Serikali ya Japan kufuatia kifo cha aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Shinzo Abe.
A [...]
Reli katikati ya maji kujengwa Tanzania
Shirika la Reli Tanzania (TRC) linafanya utafiti wa kuwa na reli katikati ya maji likiwamo la Mwanza, Arusha, Mbeya na Dodoma na kuziunganisha na viwa [...]
Kanisa latoa vyeti vya ubikra
Kanisa moja nchini Afrika Kusini linafanya vipimo vya ubikira kwa waumini wa kike wa kanisa hilo wenye umri wa miaka 18 na kuendelea.
Inaripotiwa k [...]
Nafasi za kazi
Nafasi za kazi mbalimbali. Bonyeza link zifuatazo
221 New FORM FOUR and Above Government Job Vacancies UTUMISHI at UDOM – Various Posts
Claims A [...]
Rais wa zamani wa Angola afariki dunia
Rais wa zamani wa Angola Jose Eduardo dos Santos, ambaye alitawala nchi ya pili kwa uzalishaji mafuta barani Afrika kwa takriban miongo minne, amefari [...]
Mahakama yakubali ombi la kina Mdee
Mbunge wa Viti Maalumu, Halima Mdee na wenzake 18 wamekibwaga Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) baada ya Mahakama Kuu Masijala Kuu kukubali [...]