Author: Cynthia Chacha

1 143 144 145 146 147 256 1450 / 2559 POSTS
Rais Samia atuma salamu za pole Mtwara

Rais Samia atuma salamu za pole Mtwara

Rais Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za pole kwa wafiwa waliopoteza ndugu kufuatia ajali iliyotokea Mtwara na kusababisha vifo vya watu 10 wakiwemo [...]
Ajali ya basi la shule yaua watu 10 Mtwara

Ajali ya basi la shule yaua watu 10 Mtwara

Watu 10 wamefariki asubuhi hii baada ya Basi dogo la Wanafunzi (Toyota Hiace T207 CTS) la Shule ya King David Mtwara kupata ajali Mikindani Mtwara baa [...]
Amuua mkewe kisa elfu kumi

Amuua mkewe kisa elfu kumi

Jeshi la polisi mkoani Manyara linamshikilia Petro Basso (38) mkazi wa Gabadaw wilayani Babati mkoani Manyara kwa kosa la kumpiga mkewe Maria Sakware [...]
67.2% ya wakazi wa Dar wana uzito uliopitiliza

67.2% ya wakazi wa Dar wana uzito uliopitiliza

Utafiti wa hivi karibuni umeonyesha kwamba asilimia 67.2 ya wakazi wa Dar es Salaam wana uzito kupita kiasi huku wengi wao wakiwa ni wanywaji wa pombe [...]
Magazeti ya leo Julai 26,2022

Magazeti ya leo Julai 26,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumanne Julai 26,2022. [...]
Nafasi za kazi TOA

Nafasi za kazi TOA

Katibu Mkuu wa TOA anatangaza nafasi ya kazi ya Afisa Miradi, atakayefanya kazi na Taasisi ya TOA ya mkoani Dodoma.     [...]
Mbuzi na Kondoo wapatwa na kizunguzungu

Mbuzi na Kondoo wapatwa na kizunguzungu

Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA) kimetoa taarifa ya matokeo ya Utafiti wa ugonjwa wa kizunguzungu kwa mbuzi na kondoo. Utafiti huo uliofadhi [...]
Serikali: Hakuna kushusha viwango vya posho

Serikali: Hakuna kushusha viwango vya posho

Serikali imeonya Wamiliki wa Vyombo vya Usafirishaji nchini wanaopanga kushusha viwango vya posho kwa madereva baada ya kukubaliana na serikali kuhusu [...]
TANZIA: Kiroboto afariki dunia

TANZIA: Kiroboto afariki dunia

Mpiga matarumbeta maarufu King Kiroboto OG amefariki dunia usiku wa kuamkia leo baada ya kudondoka akiwa kwenye shoo katika Hoteli ya Giraffe, Temeke [...]
Bashungwa ashtukia upigaji wa fedha Kilosa

Bashungwa ashtukia upigaji wa fedha Kilosa

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, (TAMISEMI) Innocent Bashungwa ameagiza uchunguzi wa haraka wa madai ya ubadhilifu w [...]
1 143 144 145 146 147 256 1450 / 2559 POSTS
error: Content is protected !!