Author: Cynthia Chacha

1 145 146 147 148 149 274 1470 / 2733 POSTS
Magazeti ya leo Agosti 24,2022

Magazeti ya leo Agosti 24,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatano Agosti 24,2022. [...]
Orodha ya Waombaji waliodahiliwa zaidi ya Chuo Kimoja

Orodha ya Waombaji waliodahiliwa zaidi ya Chuo Kimoja

Orodha ya Waombaji waliodahiliwa zaidi ya Chuo Kimoja au Programu zaidi ya moja [...]
Madhara ya kutumia kondomu

Madhara ya kutumia kondomu

Watu wengi wanatumia kondomu kama kinga ya kujilinda dhidi ya magonjwa ya zinaa na wengine kuepuka kupata mimba lakini ukweli ni kwamba kondomu zina m [...]
Karani wa Sensa ajinyonga Tabora

Karani wa Sensa ajinyonga Tabora

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Dkt. Batilda Buriani ametoa taarifa ya kifo cha mmoja kati ya makarani wa Sensa wilayani Igunga mkoani Tabora aliyefahamika kwa [...]
Wenye ulemavu wamshukuru Rais Samia kwa utaratibu mzuri wa sensa

Wenye ulemavu wamshukuru Rais Samia kwa utaratibu mzuri wa sensa

Walemavu wa viungo mkoani Mtwara, wameishukuru serikali chini ya Rais Samia Suluhu Hassan, kwa kuweka utaratibu mzuri ambao umewawezesha kushiriki kik [...]
Karani mwingine wa Sensa aporwa kishkwambi Arusha

Karani mwingine wa Sensa aporwa kishkwambi Arusha

Karani wa Sensa ya Watu na makazi Jiji la Arusha, Sarapia Kiwango, ameporwa kishikwambi chake, wakati akijiandaa kwenda kuhesabu makundi maalum, usiku [...]
Karani aporwa kishkwambi Katavi

Karani aporwa kishkwambi Katavi

Karani wa Sensa Kata ya Majimoto, Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe, mkoani Katavi, Kenan Kasekwa, amevamiwa usiku wa kuamkia leo na kuporwa kishikwamb [...]
Askari aliyempiga virungu kijana achukuliwa hatua

Askari aliyempiga virungu kijana achukuliwa hatua

Jeshi la Polisi limetoa ufafanuzi kuhusu video iliyosambaa kwenye mitandao ya kijamii ikimuonyessha kijana mmoja aliyefungwa pingu na kupigwa virungu [...]
Mtoto wa Simbachawene kupanda kizimbani kesho

Mtoto wa Simbachawene kupanda kizimbani kesho

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema linatarajia kumfikisha mahakamani kesho mtoto wa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bun [...]
Mwigulu kusomesha watoto wa diwani aliyekufa ajalini

Mwigulu kusomesha watoto wa diwani aliyekufa ajalini

Mbunge wa Singida Magharibi, Dk Mwigulu Nchemba ameahidi kulipa ada za masomo ya watoto wa aliyekuwa Diwani wa Viti Maalumu Tarafa ya Kinampanda wilay [...]
1 145 146 147 148 149 274 1470 / 2733 POSTS
error: Content is protected !!