Author: Cynthia Chacha

1 147 148 149 150 151 274 1490 / 2733 POSTS
TRC yaomba nauli iongezeke kwa 15%

TRC yaomba nauli iongezeke kwa 15%

Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Usafiri Ardhini (LATRA-CCC), limesema limepokea maombi ya ongezeko la nauli za treni kwa asilimia 15 kwa k [...]
Shabiki wa Yanga SC afariki

Shabiki wa Yanga SC afariki

Uongozi wa Klabu ya Yanga na Kamati ya Utendaji chini ya Rais Eng.Hersi Said umesema umepokea kwa masikitiko taarifa ya ajali ya Mashabiki wa Yanga wa [...]
Magazeti ya leo Agosti 20,2022

Magazeti ya leo Agosti 20,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumamosi Agosti 20,2022. [...]
Khaby wa Tiktok apewa rasmi uraia wa Italia

Khaby wa Tiktok apewa rasmi uraia wa Italia

Mchekeshaji Khaby Lame, anayeongoza kwa kufuatiliwa zaidi kwenye mtandao wa TikTok duniani, amepewa uraia wa Italia katika hafla iliyofanyika katika m [...]
Rais Samia afanya uteuzi EWURA

Rais Samia afanya uteuzi EWURA

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Prof. Mark James Mwandosya kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maj [...]
AfDB yaipatia Tanzania mkopo wa bilioni 175.5 kwa ajili ya wakulima

AfDB yaipatia Tanzania mkopo wa bilioni 175.5 kwa ajili ya wakulima

Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), imeipatia Tanzania mkopo wa masharti nafuu wa Dola za Marekani milioni 75 (Sh. bilioni 175.5) kusaidia upatikanaj [...]
Magazeti ya leo Agosti 19,2022

Magazeti ya leo Agosti 19,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Ijumaa Agosti 19,2022. [...]
LATRA kutoza faini 250,000

LATRA kutoza faini 250,000

Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu (LATRA) imesema kuanzia Septemba Mosi itaanza kutoza faini ya Sh250,000 mabasi yote yatakayo kiuka sharti [...]
Rais Samia anavyoipambania lugha ya Kiswahili

Rais Samia anavyoipambania lugha ya Kiswahili

Rais Samia Suluhu amewasihi wajumbe wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) kutumia lugha ya Kiswahili na pia kuharakisha mchakato wa kuifany [...]
Rais Samia aridhia siku ya sensa kuwa ni mapumziko

Rais Samia aridhia siku ya sensa kuwa ni mapumziko

Taarifa kutoka kwa Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa imeeleza kwamba Rais Samia Suluhu ameridhia siku ya sensa Agosti 23,2022 kuwa siku ya mapum [...]
1 147 148 149 150 151 274 1490 / 2733 POSTS
error: Content is protected !!