Author: Cynthia Chacha
Kaoneka: aliyepigwa anakuwa tajiri, mimi najisikiaje?
Mwanamasumbwi Shabani Kaoneka amesikitishwa na kitendo cha Karim Mandonga kupewa nafasi kubwa kwenye vyombo vya habari na kupata madili ya matangazo m [...]
Bei ya mbolea yashuka baada ya ruzuku ya Serikali
Huenda maadhimisho ya Nane Nane ya mwaka huu yatawapatia wakulima matumaini mapya katika msimu mpya wa kilimo baada ya Serikali kuzindua mpango wa ruz [...]
Kizz Daniel atolewa Polisi na Harmonize
Hatimaye mwimbaji wa muziki kutoka Nigeria, Kizz Daniel ametolewa katika kituo cha Polisi cha Oysterbay jijini Dar es salaam alipokuwa amewekwa rumand [...]
Magazeti ya leo Agosti 9,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumanne Agosti 8,2022.
[...]
Chuo cha VETA kujengwa Rungwe
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda ameutaka uongozi wa Wilaya ya Rungwe kutafuta eneo la zaidi ya Hekari 20 kwa ajili ya kuan [...]
Alilipwa hela kamili
Mapromota wa tamasha alilopaswa kutumbuiza msanii Kizz Daniel, Big Step Consultancy wamesema walimlipa mwanamuziki huyo hela kamili licha ya kugoma ku [...]
Kizz Daniel akamatwa
Staa wa muziki kutoka Nigeria @kizzdaniel amekamatwa na Polisi nchini Tanzania baada ya kugoma kutumbuiza kwenye Show licha ya kulipwa pesa nyingi.
[...]
Aamuru mwanafunzi kurudishiwa kitambulisho chake
Baada ya kutolewa kwa taarifa kuhusu mwanafunzi wa Chuo cha Seriali za Mitaa (LGTI), Hombolo mkoani Dodoma, Lightness Shirima (22) aliyekuwa akiangaik [...]
Kampuni inatafuta watu wa kulala na kuwalipa
Kampuni ya utengenezaji magodoro inayofahamika kwa jina la Casper nchini Marekani, imetangaza nafasi za kazi ya kulala usingizi kwa watu watakao kuwa [...]
Waomba radhi kutoonekana kwa Kizz Daniel
Kampuni ya inayohusika na uandaaji wa matamasha ya Str8up Vibes imeomba radhi kwa mashabiki baada ya msanii kutoka nchi Nigeria, Kizz Daniel kushindwa [...]

