Author: Cynthia Chacha
Morrison aomba uraia Tanzania
Mchezaji wa Ghana Bernard Morrison amemuomba Rais wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu kumpa kibali cha kumuwezesha kuishi Tanzania kama raia wa Tanzania kwa [...]
Magazeti ya leo Julai 2,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumamosi Julai 2,2022.
[...]
M/Kiti Kamati ya Hakimiliki
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na MIchezo Mhe. Mohamed Mchengerwa amemteua Mbunge wa Muheza, Hamis Mwinjuma (Mwana FA) kuwa mwenyekiti wa kamati ya haki m [...]
Fahamu madhara 5 ya kupiga nyeto
Kupiga punyeto ni jambo la kawaida. Ni njia ya asili na salama kujipatia raha ukiwa faragha.
Hata hivyo, kupiga punyeto kupita kiasi kunaweza kuat [...]
Mapacha watenganishwa salama
Hospitali ya Taifa ya Muhimbili imetoa taarifa kuhusu upasuaji wa mapacha walioungana ambao leo Julai 1,2022 wamefanyiwa upasuaji wakuwatenganisha na [...]
M/Kiti kamati ya harusi ya Billnas na Nandy
Msanii kutoka nchini Tanzania, Billnas anayetarajia kufungua ndoa na Faustina Mfinanga maarufu kama Nandy, ameweka wazi kwamba muigizaji Steve Nyerere [...]
Barua ya wazi ya Rais Samia Suluhu
Tanzania inatimiza miaka 30 tangu turejee rasmi katika siasa za mfumo wa vyama vingi katika kipindi hicho, Taifa letu limepitia kipindi cha furaha, ma [...]
Watalii 320 watua Zanzibar
Miaka miwili baada ya watalii kutoka nchini Italia kusitisha safari zao kwenda Zanzibar kutokana na janga la Uviko-19, safari hizo zimerejea baada ya [...]
Magazeti ya leo Julai 1,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Ijumaa Julai 1,2022.
[...]
Mabeyo akabidhiwa Ngorongoro
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, amemteua Mkuu wa Majeshi wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania Mst Jen. Venance Salvatory Ma [...]