Author: Cynthia Chacha

1 145 146 147 148 149 241 1470 / 2407 POSTS
Tahadhari upepo mkali usiku wa leo

Tahadhari upepo mkali usiku wa leo

Utabiri wa hali ya hewa kwa saa 24 zijazo kuanzia saa 3.00 usiku wa leo: Tarehe 30/06/2022   [...]
Serikali inavyowathamini wanaohamia Msomera

Serikali inavyowathamini wanaohamia Msomera

Katika kuhakikisha wakazi wanaohama kutoka Ngorongoro wanakuwa na maisha bora zaidi katika makazi mapya Msomera, Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jam [...]
Rais Samia kumteua tena Mabeyo

Rais Samia kumteua tena Mabeyo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameweka wazi kwamba CDF mstaafu Jenerali Venance Mabeyo, anataria kupangiwa kazi nyi [...]
Maombi kwa mapacha

Maombi kwa mapacha

Hospitali ya Taifa Muhimbili inatarajia kufanya upasuaji mkubwa wa kutenganisha watoto pacha waliozaliwa wameungana sehemu ya kifua, tumbo na ini (lak [...]
Bweni la Bwiru Boys lateketea

Bweni la Bwiru Boys lateketea

Zaidi ya wanafunzi 70 katika shule ya wavulana ya Bwiru sekondari iliyopo manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza wamenusurika kifo baada ya bweni kuteketea [...]
Umaarufu wampeleka R Kelly jela miaka 30

Umaarufu wampeleka R Kelly jela miaka 30

Mwimbaji wa Marekani, Robert Kelly maarufu R Kelly amehukumiwa jana JUni 29,2022 kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kutumia hadhi yake ya kuwa nyot [...]
Magazeti ya leo Juni 30,2022

Magazeti ya leo Juni 30,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Alhamisi Juni 30,2022. [...]
Mambo yazidi kupamba moto

Mambo yazidi kupamba moto

Huwenda ulikua mmoja ya watu waliodhani kwamba kitendo cha Mmiliki wa lebo ya Konde Gang, Harmonize kutangaza kuhusu meneja wake mpya ni utani, basi f [...]
Mkuu mpya wa Majeshi ateuliwa

Mkuu mpya wa Majeshi ateuliwa

Rais Samia Suluhu Hassan amempandisha Cheo Meja Jenerali Jacob Mkunda Kuwa Jenerali na amemteua Kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi-CDF. [...]
Mgeni rasmi siku ya Kiswahili duniani

Mgeni rasmi siku ya Kiswahili duniani

Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika Maadhimisho ya Siku ya Kiswahili Duniani yatakayofanyika kitaifa Julai 07, 2022 jijini Da [...]
1 145 146 147 148 149 241 1470 / 2407 POSTS
error: Content is protected !!