Author: Cynthia Chacha
Meya asema hakuna atakaye ondolewa milimani Mwanza
Baada ya taarifa iliyosambaa jana kuhusu kuhamishwa kwa wakazi wa milimani jijini Mwanza, Meya wa jiji hilo Constantine Sima amesema taarifa hizo sio [...]
Magazeti ye leo Juni 15,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatano Juni 15,2022.
[...]
Sababu 6 za Oman kuwekeza Tanzania
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan jana ametoa sababu sita za wafanyabiashara wa Oman kuwekeza nchini Tanzania, kwa kuw [...]
Waishio milimani kuondolewa, kupisha uwekezaji
Wakazi wa jiji la Mwanza waliojenga maeneo ya milimani wanatarajiwa kuondolewa ili kupisha wawekezaji kutoka nchini Brazil.
Meya wa Jiji la Mwanza, [...]
10 mbaroni kifo cha askari Loliondo
Jeshi la Polisi limewakamata watu 10 kwa tuhuma za kuhusika na vurugu zilizojitokeza wakati wa uwekaji wa mipaka kwenye eneo la pori tengefu la Lolion [...]
Sirro aridhishwa na hali ya Loliondo
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Simon Sirro amefanya ziara katika eneo la Loliondo, Ngorongoro kwa ajili ya kujionea zoezi linaloendelea la uwek [...]
Magazeti ya leo Juni 14,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumanne Juni 14,2022.
[...]
ACHPR yatoa agizo kwa serikali ya Tanzania sakata la Ngorongoro
Tume ya haki za binadamu ya nchi za Umoja wa Afrika(ACHPR) imeitaka serikali ya Tanzania kuchukua hatua kwa kile kinachoendelea Ngorongoro.
Urgent [...]
Aliyekuwa Meya autaka tena umeya
Meya wa zamani wa Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro, Juma Raibu aliyevuliwa wadhifa huo baada ya kupigiwa kura za siri na madiwani za kukataliwa am [...]
Mambo safi uwekaji alama za vibao
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amepokea taarifa ya utekelezaji wa awamu ya pili ya zoezi la anuani za Makazi ikihusisha uwekaji wa al [...]