Author: Cynthia Chacha

1 160 161 162 163 164 258 1620 / 2579 POSTS
Sopu atua Azam FC

Sopu atua Azam FC

Kiungo mshambuliaji wa Coastal Union, Abdul Hamis Seleman "Sopu" amejiunga na matajiri wa Jiji Azam FC kwa mkataba wa miaka mitatu. Sopu aliefanya [...]
LaLiga waipongeza Yanga SC

LaLiga waipongeza Yanga SC

Yanga yafikia Next level msimu huu hadi kufikia hatua ya kuchapishwa kwenye ukurusa wa Laliga na kupewa pomgezi kwa ushindi wa Kombe la AFSC. & [...]
Rais Samia atengua uteuzi bandarini

Rais Samia atengua uteuzi bandarini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 04 Julai,2022 ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi [...]
Rais Samia: Siridhishwi na bandari

Rais Samia: Siridhishwi na bandari

Rais Samia Suluhu Hassan amesema haridhishwi na kasi za bandari nchini kutokana na siasa na longolongo zilizopo huku akiwataka watendaji wa bandari ku [...]
Rais wa Bara la Afrika

Rais wa Bara la Afrika

Katibu Mtendaji wa Eneo HUru la Biashara Afrika (AfFCTA), Wakele Mene amesema Watanzania wanapaswa kutambua kuwa Rais Samia Suluhu Hassan si kiongozi [...]
Sh8 bilioni zatengwa kusomesha madaktari

Sh8 bilioni zatengwa kusomesha madaktari

Serikali imetenga Sh8 bilioni kwa ajili ya kusomesha madaktari na wataalamu ndani na nje ya nchi. Imesema kati ya fedha hizo, Sh3 bilioni zitatumik [...]
Morrison arejea Yanga SC

Morrison arejea Yanga SC

Klabu ya Young Africans SC imetangaza rasmi kumrejesha winga wake Mghana, Bernard Morrison mwenye umri wa miaka 29 kutoka kwa watani zao Simba SC. [...]
Magazeti ya leo Julai 4,2022

Magazeti ya leo Julai 4,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatatu Julai 4,2022. [...]
Chanzo cha ajali ya basi Sikonge

Chanzo cha ajali ya basi Sikonge

Majeruhi 13 kati ya 48 wa ajali ya basi la Sasebosa iliyotokea wilayani Sikonge wameruhusiwa kutoka hospitalini baada ya kupatiwa matibabu na afya zao [...]
Yanga haina mpinzani

Yanga haina mpinzani

Baada ya vuta n’kuvute  kwa dakika 120 kati ya Yanga dhidi ya Coastal Union kwenye Uwanja wa Sheikh Abeid jijini Arusha hatimaye bingwa wa kombe la sh [...]
1 160 161 162 163 164 258 1620 / 2579 POSTS
error: Content is protected !!