Author: Cynthia Chacha

1 160 161 162 163 164 247 1620 / 2461 POSTS
Meya asema hakuna atakaye ondolewa milimani Mwanza

Meya asema hakuna atakaye ondolewa milimani Mwanza

Baada ya taarifa iliyosambaa jana kuhusu kuhamishwa kwa wakazi wa milimani jijini Mwanza, Meya wa jiji hilo Constantine Sima amesema taarifa hizo sio [...]
Magazeti ye leo Juni 15,2022

Magazeti ye leo Juni 15,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatano Juni 15,2022. [...]
Sababu 6 za Oman kuwekeza Tanzania

Sababu 6 za Oman kuwekeza Tanzania

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan jana ametoa sababu sita za wafanyabiashara wa Oman kuwekeza nchini Tanzania, kwa kuw [...]
Waishio milimani kuondolewa, kupisha uwekezaji

Waishio milimani kuondolewa, kupisha uwekezaji

Wakazi wa jiji la Mwanza waliojenga maeneo ya milimani wanatarajiwa kuondolewa ili kupisha wawekezaji kutoka nchini Brazil. Meya wa Jiji la Mwanza, [...]
10 mbaroni kifo cha askari Loliondo

10 mbaroni kifo cha askari Loliondo

Jeshi la Polisi limewakamata watu 10 kwa tuhuma za kuhusika na vurugu zilizojitokeza wakati wa uwekaji wa mipaka kwenye eneo la pori tengefu la Lolion [...]
Sirro aridhishwa na hali ya Loliondo

Sirro aridhishwa na hali ya Loliondo

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Simon Sirro amefanya ziara katika eneo la Loliondo, Ngorongoro kwa ajili ya kujionea zoezi linaloendelea la uwek [...]
Magazeti ya leo Juni 14,2022

Magazeti ya leo Juni 14,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumanne Juni 14,2022. [...]
ACHPR yatoa agizo kwa serikali ya Tanzania sakata la Ngorongoro

ACHPR yatoa agizo kwa serikali ya Tanzania sakata la Ngorongoro

Tume ya haki za binadamu ya nchi za Umoja wa Afrika(ACHPR) imeitaka serikali ya Tanzania kuchukua hatua kwa kile kinachoendelea Ngorongoro. Urgent [...]
Aliyekuwa Meya autaka tena umeya

Aliyekuwa Meya autaka tena umeya

Meya wa zamani wa Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro, Juma Raibu aliyevuliwa wadhifa huo baada ya kupigiwa kura za siri na madiwani za kukataliwa am [...]
Mambo safi uwekaji alama za vibao

Mambo safi uwekaji alama za vibao

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amepokea taarifa ya utekelezaji wa awamu ya pili ya zoezi la anuani za Makazi ikihusisha uwekaji wa al [...]
1 160 161 162 163 164 247 1620 / 2461 POSTS
error: Content is protected !!