Author: Cynthia Chacha

1 174 175 176 177 178 271 1760 / 2702 POSTS
M/Kiti kamati ya harusi ya Billnas na Nandy

M/Kiti kamati ya harusi ya Billnas na Nandy

Msanii kutoka nchini Tanzania, Billnas anayetarajia kufungua ndoa na Faustina Mfinanga maarufu kama Nandy, ameweka wazi kwamba muigizaji Steve Nyerere [...]
Barua ya wazi ya Rais Samia Suluhu

Barua ya wazi ya Rais Samia Suluhu

Tanzania inatimiza miaka 30 tangu turejee rasmi katika siasa za mfumo wa vyama vingi katika kipindi hicho, Taifa letu limepitia kipindi cha furaha, ma [...]
Watalii 320 watua Zanzibar

Watalii 320 watua Zanzibar

Miaka miwili baada ya watalii kutoka nchini Italia kusitisha safari zao kwenda Zanzibar kutokana na janga la Uviko-19, safari hizo zimerejea baada ya [...]
Magazeti ya leo Julai 1,2022

Magazeti ya leo Julai 1,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Ijumaa Julai 1,2022. [...]
Mabeyo akabidhiwa Ngorongoro

Mabeyo akabidhiwa Ngorongoro

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, amemteua Mkuu wa Majeshi wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania Mst Jen. Venance Salvatory Ma [...]
Tahadhari upepo mkali usiku wa leo

Tahadhari upepo mkali usiku wa leo

Utabiri wa hali ya hewa kwa saa 24 zijazo kuanzia saa 3.00 usiku wa leo: Tarehe 30/06/2022   [...]
Serikali inavyowathamini wanaohamia Msomera

Serikali inavyowathamini wanaohamia Msomera

Katika kuhakikisha wakazi wanaohama kutoka Ngorongoro wanakuwa na maisha bora zaidi katika makazi mapya Msomera, Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jam [...]
Rais Samia kumteua tena Mabeyo

Rais Samia kumteua tena Mabeyo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameweka wazi kwamba CDF mstaafu Jenerali Venance Mabeyo, anataria kupangiwa kazi nyi [...]
Maombi kwa mapacha

Maombi kwa mapacha

Hospitali ya Taifa Muhimbili inatarajia kufanya upasuaji mkubwa wa kutenganisha watoto pacha waliozaliwa wameungana sehemu ya kifua, tumbo na ini (lak [...]
Bweni la Bwiru Boys lateketea

Bweni la Bwiru Boys lateketea

Zaidi ya wanafunzi 70 katika shule ya wavulana ya Bwiru sekondari iliyopo manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza wamenusurika kifo baada ya bweni kuteketea [...]
1 174 175 176 177 178 271 1760 / 2702 POSTS
error: Content is protected !!