Author: Cynthia Chacha

1 199 200 201 202 203 250 2010 / 2491 POSTS
Magazeti ya leo Aprili 13,2022

Magazeti ya leo Aprili 13,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatano Aprili 13,2022. [...]
Jinsi ya kuwa na uke wenye afya

Jinsi ya kuwa na uke wenye afya

Uke ni njia ya uzazi, inatupatia raha na pia hedhi kila mwezi hivyo ni lazima uhakikishe unauweka katika hali ya usafi na nadhimu. Usioshe uke W [...]
Makamba ataja sababu za mfumuko wa bei za mafuta

Makamba ataja sababu za mfumuko wa bei za mafuta

Waziri wa Nishati, January Makamba ameeleza kiundani sababu za upandaji wa bei za mafuta baada ya kuwa na sintofahamu kutoka kwa wananchi waliokuwa wa [...]
Tazama hapa video zinazo-trend Youtube leo Aprili 12,2022

Tazama hapa video zinazo-trend Youtube leo Aprili 12,2022

Hizi hapa video zinazofanya vizuri katika mtandao wa Youtube Tanzania leo Aprili 12,2022. Husikubali kupitwa https://www.youtube.com/watch?v=IokCG2 [...]
Mhagama atangaza ajira mpya zaidi ya 32,000

Mhagama atangaza ajira mpya zaidi ya 32,000

Waziri  wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama,ametangaza ajira mpya zaidi ya 32,000 katika sek [...]
Van Damme balozi wa DRC

Van Damme balozi wa DRC

Mwigizaji nyota wa zamani raia wa Ureno, Jean-Claude Van Damme (61) amepewa heshima ya kuitangaza Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo(DRC) na kuahidi kuw [...]
Rais Samia aikumbuka kata ya Kitandililo

Rais Samia aikumbuka kata ya Kitandililo

Wananchi wa Kata ya Kitandililo, Wilaya ya Makambako Mjini, Mkoani Njombe wamemshukuru Rais Samia Suluhu kwa kuwajengea kituo cha Afya katika kata hiy [...]
Tanzania, Uswisi na Ufaransa mambo safi

Tanzania, Uswisi na Ufaransa mambo safi

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) amekutana kwa pamoja na kufanya mazungumzo na mabalozi wa Ufar [...]
Muliro: Kama yupo serious aripoti polisi

Muliro: Kama yupo serious aripoti polisi

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema kama aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda anahitaji msaada ya kius [...]
DJ Khaled atunukiwa nyota ya heshima

DJ Khaled atunukiwa nyota ya heshima

Jana Aprili 11,2022 DJ Khaled ametunukiwa nyota ya heshima kwenye Hollywood Walk of Fame akiwa ni mtu wa 2,719 kukabidhiwa  tangu kuanza kwa Walk Of F [...]
1 199 200 201 202 203 250 2010 / 2491 POSTS
error: Content is protected !!