Author: Cynthia Chacha
Mkwere apewa mtaa
Wakati zoezi la kuweka vibao vya majina ya mitaa nchini likiendelea, mchekeshaji kutoka kundi la Mizengwe, Hemedi Khalidi Maliaga maarufu kama Mkwere [...]
GAIRO: Madarasa 12 ya Samia yavunjwa vioo
Mkuu wa Wilaya ya Gairo, Jabir Makame amemsimamisha kazi Mkuu wa Shule ya Sekondari Kibedya, wilayani humu, Kelvin Kayombo ili kupisha uchunguzi baada [...]
WAKE: Tuna haki ya kwenda Dubai kama michepuko
Kikundi cha wanawake jijini Kampala wamefanya maandamano asubuhi hii ya leo tarehe 11 mwezi Aprili wakishinikiza wanaume zao kuwaongezea kiwango cha p [...]
Wananchi Ngorongoro wakubali kuhama
Wananchi wanaoishi ndani ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) wamesema kupata haki miliki ya nyumba ndani ya mamlaka hiyo ni ndoto hivyo ni vema kuhamia en [...]
Magazeti ya leo Aprili 11,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatatu Aprili 11, 2022.
[...]
TMDA: Marufuku sigara hadharani
Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) imesema ni kosa kisheria kuvuta sigara hadharani au kwenye maeneo ya mikusanyiko na atakayebainika kufanya hivyo [...]

50 Cent: Mmefanyia vibaya Will Smith
Rapa kutoka nchini Marekani Curtis James Jackson III maarufu kama 5O cent amemkingia kifua Muigizaji Will Smith kutokana na adhabu aliyopewa kwa kusem [...]
Magazeti ya leo Aprili 10,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumapili Aprili 10,2022.
[...]
Faida 5 za kujamiiana asubuhi
Huwenda umeshawahi kusikia kuhusu umuhimu wa kushiriki tendo la ndoa asubuhi na ukashangaa lakini ni kweli kuna faida za kufanya tendo hilo kwa afya y [...]
Video zinazo-trend Youtube Aprili 9,2022
Hizi hapa video zinazofanya vizuri katika mtandao wa Youtube Tanzania leo Jumamosi Aprili9,2022. Husikubali kupitwa.
https://www.youtube.com/watch? [...]

