Author: Cynthia Chacha

1 55 56 57 58 59 262 570 / 2617 POSTS
Hakuna uhaba wa mafuta nchini

Hakuna uhaba wa mafuta nchini

WAKALA wa Uagizaji wa Mafuta kwa Pamoja (PBPA) umesema hakuna uhaba wa mafuta nchini. Kaimu Mtendaji Mkuu wa PBPA, Erasto Mulokozi amelieleza Habar [...]
Rais Samia ampa milioni 2 Mariam kwa kukumbatia watoto njiti

Rais Samia ampa milioni 2 Mariam kwa kukumbatia watoto njiti

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za pongezi kwa Mariam Mwakabungu (25) anayejitolea kukumbatia watoto njiti waliotelekezwa Hospita [...]
Kenya: Shule za fungwa kupisha maandamano

Kenya: Shule za fungwa kupisha maandamano

Serikali nchini Kenya imetoa agizo la kufungwa kwa shule zote za msingi na sekondari za mchana jijini Nairobi na Mombasa kabla y [...]
Tanzania na Hungary kuangazia usawa wa kijinsia

Tanzania na Hungary kuangazia usawa wa kijinsia

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema serikali yake inalitizama kwa jicho la tatu suala la usawa wa kijinsia na kuwainua wanawake katika jamii. Rais Sam [...]
Dk. Kikwete akoshwa na uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan

Dk. Kikwete akoshwa na uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan

Rais Mstaafu wa Awamu ya Sita, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa anayoifanya ya kuhakikisha Tanzania ina [...]
Rais Samia: Nchi za jirani zinatamani fursa tuliyoipata

Rais Samia: Nchi za jirani zinatamani fursa tuliyoipata

Rais Samia Suluhu Hassan amesisistiza kuwa wakati Tanzania inaendelea kujadili makubaliano ya bandari na kampuni kubwa ya Dubai, bandari pinzani katik [...]
Rais Samia : jicho la serikali lipo wizara ya mipango na uwekezaji

Rais Samia : jicho la serikali lipo wizara ya mipango na uwekezaji

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema sasa jicho la Serikali lipo katika wizara mpya iliyoundwa ya Mipango na Uwekezaji ambapo itakuwa na majuk [...]
Wavulana wakimbiza matokeo kidato cha sita 2023

Wavulana wakimbiza matokeo kidato cha sita 2023

Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) leo limetangaza matokeo ya mtihani ya kidato cha sita kwa mwaka 2023 huku ufaulu wa jumla kwa watahiniwa wa shule [...]
Matokeo kidato cha sita 2023, 11 wafutiwa

Matokeo kidato cha sita 2023, 11 wafutiwa

Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limefuta matokeo ya watahiniwa 11 wa kidato cha sita baada ya kubainika kufanya vitendo vya udanganyifu katika mti [...]
Ajira mpya 77 Kada za Afya

Ajira mpya 77 Kada za Afya

Serikali kupitia Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR - TAMISEMI) imetangaza tena nafasi za ajira kwa kada za Afya 77 nakuwataka wa [...]
1 55 56 57 58 59 262 570 / 2617 POSTS
error: Content is protected !!