Author: Cynthia Chacha
Bandari ya Mtwara kuwa kitovu cha meli kubwa
Bandari ya Mtwara inatarajia kuwa kitovu cha kupokea meli kubwa za makasha kisha kuyapeleka nchi nyingine kwa kutumia meli ndogo.
Kaimu Meneja wa B [...]
Magazeti ya leo Februari 8,2023
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatano Februari 8,2023.
[...]
Rais Samia awalilia waliofariki Syria na Uturuki
Rais Samia Suluhu Hassan ameungana na viongozi mbalimbali duniani kuomboleza vifo vya zaidi ya watu 3,500 waliofariki dunia baada ya kutokea kwa tetem [...]
Magazeti ya leo Februari 7,2023
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumanne Februari 7,2023.
[...]
Lita 910 zingine za dizeli SGR zakamatwa
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Janeth Magomi amesema wamefanikiwa kukamata lita 910 za mafuta aina ya dizeli yanayotumika katika mradi wa Reli [...]
Magazeti ya leo Februari 6,2023
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatatu Februari 6,2023.
[...]
Serikali kugharamia msiba wa watu 17 Tanga
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa maelekezo kuwa Serikali isimamie msiba wa Watu 17 waliofariki kwa ajali Tanga [...]
Rais Samia aomboleza ajali iliyoua watu 17 mkoani Tanga
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ameeleza kusikitishwa na ajali iliyoua watu 17 mkoani Tanga.
Nimesikit [...]
Vijana 147 waliojiunga JKT wabainika kuwa na VVU
Kamati ya Bunge ya Masuala ya UKIMWI imesema katika kipindi cha miaka mitatu kilichoanzia 2018, vijana wanaojiunga na mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taif [...]
Gridi nzima ya umeme ya taifa kufumuliwa
Waziri wa Nishati, January Makamba amesema serikali inatajaria kuanza mradi mkubwa wa kufumua gridi nzima ya umeme ya taifa na kuirekebisha.
Lengo [...]