Author: Elibariki Kyaro

1 15 16 17 18 170 / 171 POSTS
Fanya mambo haya kabla ya kufikisha miaka 30

Fanya mambo haya kabla ya kufikisha miaka 30

Kufikisha miaka 30 ni kipindi cha mabadiliko makubwa kwenye maisha ya mtu na taaluma yake. Ni kipindi ambacho malengo ya wengi kitaaluma na familia hu [...]
Wasanii 10 tajiri zaidi Afrika

Wasanii 10 tajiri zaidi Afrika

Orodha ya wasanii 10 tajiri zaidi barani Afrika kwa mujibu wa tovuti ya Classified. 1. Black Coffee – $60 milioni (TZS bilioni 139.1) Jina lake ha [...]
Ifahamu historia ya Haji Manara

Ifahamu historia ya Haji Manara

Miaka ya 1970, Tanzania ilimshuhudia Sunday Manara, mzaliwa wa Kigoma aliyejaaliwa ufundi wa kusakata kabumbu. Sunday alifahamika kama 'computer' kuto [...]
Orodha ya magari 6 ghali zaidi duniani kwa sasa

Orodha ya magari 6 ghali zaidi duniani kwa sasa

Kumiliki gari zuri, yawezekana ni ndoto ya kila mtu duniani, pamoja na mambo mengine kama nyumba, ardhi, kazi na vitu vingine vya thamani. Wasanii, [...]
Historia ya Yanga na mgogoro uliopeleka Simba kuanzishwa

Historia ya Yanga na mgogoro uliopeleka Simba kuanzishwa

  kuanzishwaHistoria ya Klabu ya Yanga inatokea tangu enzi za miaka ya 1910, ingawaje historia kamili ilianza kuandikwa mwaka 1935. Klabu hiyo [...]
Ifahamu kwa undani chanjo ya korona ya ‘Janssen’ ya kampuni ya Johnson & Johnson

Ifahamu kwa undani chanjo ya korona ya ‘Janssen’ ya kampuni ya Johnson & Johnson

Ni wazi wengi wanaitambua kampuni hii kwa utengenezaji wa mafuta na sabuni za watoto. Mbali na vipodozi kampuni hiyo pia inazalisha vifaa tiba na dawa [...]
Ifahamu safari ya kundi la Taliban kutoka msituni hadi Ikulu.

Ifahamu safari ya kundi la Taliban kutoka msituni hadi Ikulu.

Tangu kundi la Taliban litwae utawala wa nchi ya Afghanistan kumekuwa na habari na taarifa nyingi kuhusu kundi hilo. Lakini umewahi kuwa nini hasa chi [...]
Waziri Mkuu akagua Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Katavi

Waziri Mkuu akagua Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Katavi

  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipokagua ujenzi wa hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi iliyopo eneo la Rungwa, Mpanda, [...]
Rais Samia apewa kongole na mabalozi

Rais Samia apewa kongole na mabalozi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo amepokea hati za utambulisho wa mabalozi watano walioteuliwa kuziwakilisha nchi zao h [...]
Barua ya wazi ya Mpambazi kwenda kwa Kigogo

Barua ya wazi ya Mpambazi kwenda kwa Kigogo

Mwandishi Andrew Mpambazi. Sina shaka ya kuanza kujitambulisha kwa kuwa wanifahamu. Nachukua muda huu kukuandikia yafuatayo tafadhali naomba soma b [...]
1 15 16 17 18 170 / 171 POSTS
error: Content is protected !!