Category: Kimataifa
Rais ajiuzulu
Spika wa Bunge la Sri Lanka Mahinda Yapa Abeywardena ametangaza jana kuwa Rais wa nchi hiyo Gotabaya Rajapaksa amekubali kujiuzulu wadhifa wake July 1 [...]
Rais Samia atoa pole kwa Wajapani
Rais Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za rambirambi kwa Serikali ya Japan kufuatia kifo cha aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Shinzo Abe.
A [...]
Kanisa latoa vyeti vya ubikra
Kanisa moja nchini Afrika Kusini linafanya vipimo vya ubikira kwa waumini wa kike wa kanisa hilo wenye umri wa miaka 18 na kuendelea.
Inaripotiwa k [...]
Serikali yataja mikakati ya kukuza na kueneza lugha ya Kiswahili
Katika siku ya kuadhimisha lugha ya kiswahili duniani tarehe 7 Julai, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameweka wazi m [...]
Hizi hapa Bei mpya za mafuta
Hizi hapa bei mpya za mafuta kwa Tanzania .
[...]
Zawadi za Rais Samia kwa Watanzania kutoka Oman
Haijapata kutokea, ndivyo unavyoweza kusema kuhusu mafanikio ya Serikali ya Awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan katika suala zima la kukuz [...]
Tanzania mwenyeji tuzo za MTV Africa 2023
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Mohamed Mchengerwa amekutana na kufanya mazungumzo na makamu wa Rais na meneja mkuu wa Paramount Africa and [...]
Tanzania yapata tuzo ya Ubunifu wa Kutangaza Utalii
Tanzania imefanikiwa kupata Tuzo ya Banda Bora lenye Ubunifu wa Kutangaza Utalii katika maonesho ya 37 ya utalii ya Seoul International Travel Fair (S [...]
Kumbukizi ya siku ya kifo cha Michael Jackson
Siku kama ya leo Juni 25 mwaka 2009 dunia ilimpoteza nguli wa muziki wa dansi Michael Jackson aliyefariki baada ya kuzidisha kiasi cha dawa wakati aki [...]