Category: Kitaifa

1 107 108 109 110 111 193 1090 / 1928 POSTS
Madhara ya kuvaa mawigi

Madhara ya kuvaa mawigi

Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Ngozi kutoka Hospitali ya Lugalo, Dk. Msafiri Kombo, alisema kitendo cha wanawake kuvaa mawigi ambayo tayari yameshavali [...]
Serikali kunongesha sekta ya maziwa

Serikali kunongesha sekta ya maziwa

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulgea amesema seriklai imejipanga kuhakikisha kunakuwa na mazingira mazuri ya uwekezaji katika sekta ya mazi [...]
Umuhimu wa sensa kwa Rais Samia

Umuhimu wa sensa kwa Rais Samia

Kamisa wa sensa nchini, Anne Makinda amesema Sensa ya Watu na Makazi itakayofanyika Agosti, mwaka huu, itakapokamilika itaisaidia serikali na kumpa Ra [...]
Majina ya waliopata ajira kada za afya na ualimu

Majina ya waliopata ajira kada za afya na ualimu

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR - TAMISEMI ) , Mhe. Innocent Bashungwa ametangaza ajira mpya za ualimu na kada z [...]
Auawa kwa kuchomwa kisu baada ya kukataa kuolewa

Auawa kwa kuchomwa kisu baada ya kukataa kuolewa

Mauaji ya mwanafunzi mmoja wakike aliyefahamika kwa jina la Nayera Ashraf nchini Egypt yamezua mjadala mkubwa baada ya kuhusishwa kwa wivu wa mapenzi [...]
Historia ya Tanzania kuwa somo mashuleni

Historia ya Tanzania kuwa somo mashuleni

Historia ya Tanzania itaanza kufundishwa mwakani kama somo katika shule za msingi na sekondari kama alivyoagiza Rais wa awamu ya tano, Hayati John Mag [...]
Mdee na wenzake watuma barua kwa spika

Mdee na wenzake watuma barua kwa spika

Wabunge 19 wa viti maalumu waliofutiwa uanachama CHADEMA, wamewasilisha tena maombi namba 27/2022 ya kuomba kibali cha kufungua kesi ya kupinga kuvuli [...]
Meli ya sulphur za bure kwa wananchi yakifa Mtwara

Meli ya sulphur za bure kwa wananchi yakifa Mtwara

Meli ya BOSS7 iliyobeba viwatilifu aina ya Salfa ya unga tani zaidi ya elfu 5 imewasili katika Bandari ya Mtwara ikitokea Uturuki, ikiwa ni muendelezo [...]
Bajeti ya serikali 2022/23 imepita kwa 94%

Bajeti ya serikali 2022/23 imepita kwa 94%

Bajeti ya Serikali ya 2022/23 imepita kwa asilimia 94 baada ya kupigiwa kura za ndio 350. Idadi ya wabunge ilikua 380 na 379 walipiga kura.  NDIO- [...]
Kikokotoo cha zamani hakirudishwi

Kikokotoo cha zamani hakirudishwi

Serikali imesema haitarudisha kikokotoo cha zamani cha mafao ya wastaafu cha asilimia 50, kwa kuwa hakileti usawa katika ugawaji wa fedha wanazopata w [...]
1 107 108 109 110 111 193 1090 / 1928 POSTS
error: Content is protected !!