Category: Kitaifa
Viwango vya kubadili fedha Mei 26, 2022
Fahamu viwango elekezi vya kubadili fedha za kigeni nchini Tanzania leo kulingana na maelekezo ya Benki Kuu ya Tanzania.
[...]
Mtwara wang’oa vibao vya anuani za makazi
Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara-Mikindani imeeleza kusikitishwa na vitendo vya baadhi ya wananchi vya kung’oa vibao vya anuani ya makazi.
Kufuati [...]
Madini ya Afrika yanayotumika kutengeneza simu
Utajiri mkubwa wa Afrika upo kwenye ardhi yake, ardhi yenye rutuba kustawisha mimea, lakini ardhi hiyohiyo yenye kuficha vito vya thamani na vya upeke [...]
Nafasi za kazi Manispaa ya Kinondoni
Job vacancies Nafasi za kazi Kinondoni Municipal Council May 2022: Chief Executive Director of Kinondoni Municipal Council invites all Tanzanian citiz [...]
Spika apiga marufuku vituko bungeni
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr. Tulia Ackson amepiga marufuku Wabunge kufanya vituko kama kupiga magoti au sarakasi wakati waki [...]
PM amsimamisha kazi Mkurugenzi wa jiji Arusha
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Mei 24 amewasimamisha kazi watumishi sita wa jiji la Arusha akiwemo Mkurugenzi wa jij hilo Dkt. John Pima kwa makosa [...]
Ajali mbaya yaua watatu
WATU watatu wamefariki dunia na wengine 26 kujeruhiwa katika ajali ya basi la Mohamed Classic iliyotokea Hanang mkoani Manyara.
Basi hilo lenye nam [...]
Diwani aliyepotea akutwa na mwanamke Tabata
Jeshi la polisi Kanda maalum Dar es salaam limesema Diwani wa Kata ya Kawe Mutta Rwakatare aliyetoweka tangu mwezi wa pili amekutwa nyumbani kwa mwana [...]
Chanzo cha watu kupigwa mawe Arumeru
Mkoani Arusha, wilayani Arumeru, wananchi wamekuwa wakipigwa na mawe kwa takribani wiki mbili sasa bila kujua mawe hayo yanatoka wapi.
Baada ya kuz [...]
Mbunge mwingine alia bungeni
Mbunge wa Ukonga (CCM), Jerry Silaa amemwaga machozi bungeni wakati akieleza kuwa Kampuni ya Syno Hydro iliyopopewa zabuni ya kujenga barabara ya mwen [...]